Kweli, sikio la kufa halisikii dawa! Dunia nzima inakunyooshea kidole, lakini wewe umeukaza shingo na kuziba masikio. Unadhani madaraka ni ya milele? La hasha. Madaraka ni ya muda tuu (transitory power) yanapita. Lakini haki haifi, wala haizikwi. Siku yake ikifika, haki yetu tutaipata, bila shaka! A luta continua! ✊🏾
jwtz likatae kutumiwa kutisha watu. naelewa kunaweza kuwa na ugumu wa kuiambia serikali hapana, but wanapaswa, jwtz si law enforcement organ. halihusiki kusimamia sheria. halipaswi kuingilia purely civilian stuff. jwtz lijichunge, heshima iliyonayo inatokana na kujua mipaka yake!
Ningún ser humano -y, desde luego, ningún niño o niña- debería sufrir el horror que se vive en Gaza.
Hoy, nuestro país acoge a 100 personas palestinas, 20 de ellas menores, junto a sus familias, para que puedan recibir el tratamiento que necesitan.
Atenderlas es una obligación moral. Defender su derecho a volver a un hogar en paz, también.
La indiferencia nunca puede ser una opción.
After listening to the testimonies of Tundu Lissu’s wife and Ambassador Humphrey Polepole’s sister before the European Parliament, my heart broke.
How can you watch others suffer as a human being and remain silent?
How can other human beings cause such pain to others, then go home, spend time with their own families, hug their children, sit around the dinner table, and carry on as if nothing happened?
How?
A wife is pleading for her husband.
A sister is pleading for her brother.
Mothers are grieving.
Children are asking where their fathers are.
Families are searching for answers that never come.
And then an illegitimate government still denies all of this.
They might even send officials and spokespersons to stand before the world and deny the truth.
How can some people deny even other people’s pain?
Yaani watu wanaleta ushahidi, familia zinatoa ushuhuda, dunia inasikiliza, lakini bado mnasukuma simulizi za propaganda ili kukwepa uwajibikaji?
People present evidence, testimonies, reports, and firsthand accounts, and still the response is denial, denial, denial and narrative management instead of truth and accountability.
Some of us speak because looking away was no longer an option.
Some of us speak because our humanity would not allow us to remain silent.
Free Tundu Lissu.
Free Humphrey Polepole.
Bring back Soka.
Bring back Mdude.
And for the many others who have disappeared, tell their families where they are.
Dead or alive-tell the truth.
Where are they?
Where are the bodies of many of those killed on October 29 and in the violent aftermath that followed?
Where are the answers that families deserve?
How can a state fail its people in this way and still stand before the world and claim legitimacy while denying the pain of its own citizens?
No government can build lasting peace on denial.
No nation can heal by hiding the truth.
No society can move forward while families are still searching for their loved ones and graves remain unknown.
Truth. Accountability. Justice.
That is all these families are asking for.
And that is why some of us refuse to be silent.
@StateDept@RepMcCormick@RepJoeWilson@SenatorRisch@SenTedCruz@SenatorShaheen@SenRickScott@SenRandPaul@LeaderMcConnell@SenOssoff@SenatorWarnock@SFRCdems @SFRCgop @Europarl_EN@EP_President@amnesty@hrw@UNHumanRights@BBCWorld@Reuters@CNN@nytimes@washingtonpost
#Tanzania
"An 82-page submission to the International Criminal Court by a group of civil society organizations [has] stated that the Tanzanian authorities killed more than 3,000 civilians following polling day [last October]."
https://t.co/dHCUchvlQU @euobs
Tarehe 22 Juni Kamati Ndogo ya Haki za Kibinadamu, kwa kushirikiana na Ujumbe wa Bunge la Afrika-EU, ilichunguza hali ya haki za binadamu nchini #Tanzania.
Majadiliano yalihusisha jopo ikiwa ni pamoja na watetezi wa haki za binadamu pamoja na wawakilishi kutoka Tume na EEAS.
Ilikuwa ni pamoja na Agnes Polepole Lendov dada wa balozi wa zamani wa Cuba Humphrey Polepole ambaye alitekwa mwezi Oktoba na kutoonekana tangu wakati huo. Pia Alice Magabe mke wa Tundu Lissu ambaye ni Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania na amekuwa akisota gerezani akisubiri kesi ya tuhuma za uongo za uhaini.
https://t.co/pHznM8Q8Qj
SHEHE ANAPOFAFANUA BIBLIA NA MCHUNGAJI ANAPOFAFANUA QURAN.
Tuwekeze nguvu kufanya mambo ya Msingi.UKWELI,HAKI NA UWAJIBIKAJI .
Ni aibu haya mambo kuwa namna hii .Hatuwezi tena kuficha Moto kwani Moshi umeonekana.Muungwana akivuliwa nguo huchutama.
BAK Mwabukusi.
🇮🇹🇺🇸 Italy's PM Meloni HITS BACK at Trump's claim that she "begged" for a photo with him
"I don't know why the President of the US behaves like this towards his allies, it's not the first time it's happened"
"There is one thing that Italy and I must remember: we don't beg"
Thabo Mbeki awakumbusha wa Afrika Kusini kifo cha Sokoine kilichosababishwa na kada wao wa ANC mwaka 1984.
Anasema walidhani Watanzania wangewashambulia ANC, lakini hawakufanya hivyo.
Sudan has been ravaged by more than three years of a brutal civil war, where the UAE's role in supporting the RSF has been widely documented.
Now, a new report by Human Rights Watch reveals just how far the UAE is willing to go to protect and further its own interests in Sudan.
This is what got me fired after working for one month, with the media company called The Spearhead, founded by David Hundeyin.
.@mukholitrevor, in his wanting to present his half baked analysis on Pan Africanism, left out the part where he took my tweet to the work group.
A 🧵
This African madness about foreign football teams (especially from colonial brutes) while not being mad against police brutality, abuse of power, exploitation and grinding poverty, is one of the main reasons why liberating Africa has been difficult. To be liberated, Africans must liberate their MINDS and the illusions, fantasies and myths from and about the UK, Europe and America—and everything these imperialist regimes represent.
Don’t bore me about “it’s sports” or “religion.” I call it MENTAL COLONIZATION!
Now, go ahead and have a breakdown on @X!
Kuna watu wana kipaji cha hali ya juu kabisa cha kujitoa ufahamu, kuongea upupu mchana kweupe kwa kujiamini asilimia mia moja, wakidhani Watanzania wote ni mbumbumbu wa kuamini kila wanachosema. Ni mchanganyiko wa ubinafsi, majivuno na ego uliopitiliza unaowasukuma kupuuza ukweli, kujiona wao pekee ndio wenye akili na maarifa, na kudharau uwezo wa Watanzania wa kuchambua na kutambua ukweli. Bahati mbaya kwao, kujiamini kupita kiasi hakubadilishi uongo kuwa ukweli, wala hakuwafanyi wengine kuwa wajinga.
Sanctioning a corporal who doesn’t even know how to spell “Britain”, has no visa, no foreign bank account and cannot travel to the UK is the usual colonial smoke and mirrors. The person responsible for the atrocities and who works for the UK, US and Israel is @SuluhuSamia.