@BluefellaTz@Rainold_1@shaffihdauda1 Uwanja Kwa Week yote hii ulikua chini ya team mwenyeji ambaye ni Yanga so hata kitendo cha kuzuia kuingia kwa simba kufanya mazoezi ya mwisho kabla ya mechi ni dhahiri litakua limefanywa na team mwenyeji ambaye ni Yanga Tumia๐ง ..