Kwenu Gen Z,
Oyaa! Mzigo umepanda. Target imehama, sasa tunaelekea Bilioni 5.
Msiache hii iwe kazi ya watu wachache. Kizazi chenu kimeonyesha mara nyingi kuwa kikiamua, hakuna kisichowezekana.
Mmebadilisha mijadala, mmeamsha matumaini, mmefanya sauti ya mabadiliko isikike kila kona ya nchi. Sasa ni wakati wa kuipa sauti hiyo nguvu ya mchango.
Tusibaki kwenye likes, reposts na hashtags pekee. Tuweke pia alama zetu kwenye Tone Tone.
Usichangie kwa sababu umeombwa. Changia kwa sababu unaamini. Hata elfu mbili yako ni sehemu ya Bilioni 5 tunayoiandika pamoja. Hakuna mchango mdogo unapokuwa wa watu wengi wenye imani moja.
Tonesheni Tone Tone. Tufanye historia pamoja, ili kesho tukisimulia ushindi huu, kila mmoja aweze kusema, “Nilikuwepo.”
CHADEMA MPESA- 0744446969
Wenu katika Struggle,
G. J. L
…… Chama imara hujengwa na wanachama wanaoshiriki, si kwa maneno tu bali kwa vitendo.
Tuendelee kuchangia kwa mafanikio ili kuwezesha Baraza Kuu lotalobeba Ajenda za na matarajio ya wananchi.
M-Pesa - 0744 44 69 69
CHADEMA HQ
Kila mchango wako ni uwekezaji wa kesho yetu.
Foreign aid cannot go to terrorists! My amendment passed, which means NO AMERICAN DOLLARS are going to Nigeria.
Thank you, @DailySignal, for the coverage.
https://t.co/yCT4LqVMnc
Hi guys, I’m sorry, sikujua kuwa kuna official channel Chadema wameweka kwa ajili ya kupokea pesa za Diaspora.
Naomba Diaspora mtupilie mbali lile tangazo langu la jana.
Sio kama nilitaka kujiamulia mambo ni vile sikujua kuna official channel tayari Chadema wame establish kwa ajili ya Diaspora so I thought I was helping.
diaspora mnaoona shida kutuma wenyewe moja kwa moja tuonane na kaka Libe @Liberatus80 .
Ila nilishapokea $200 kutoka kwa watu 3 na ndio hizo nimewatumia Chadema sasa hivi.
SATIVA AMETIMIZA AHADI YAKE, SASA CHALLENGE MPYA NI MILIONI 200! 🔥
Watanzania mmeonyesha kwamba mkiamua, mnaweza. Baada ya kufanikisha lengo la TSh. Milioni 100, Sativa ametimiza ahadi yake kwa kuchangia TSh. Milioni 2 kwa ajili ya Baraza Kuu la Umma.
Lakini safari haijaishia hapo.
Sativa ametangaza Challenge mpya: Watanzania wakifikisha TSh. Milioni 200, naye atachangia tena TSh. Milioni 3 kwa ajili ya Baraza Kuu la Umma.
Challenge imeanza! Tumeonyesha tunaweza kufikisha Milioni 100, sasa tuungane tena tufikishe Milioni 200 na tuandike historia nyingine.
TUENDELEE KUCHANGIA KUFANIKISHA BARAZA KUU LA UMMA.
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
NMB Bank
Namba ya Akaunti: 22606600140
Jina la Akaunti: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Leo Wazee wa Mkoa wa Mara wamekutana na Makam Mwenyekiti Mhe. John Heche na kumpatia zawadi.
Tuendelee kuchangia chama kupitia
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
NMB Bank
Namba ya Akaunti: 22606600140
Jina la Akaunti: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
@Sativa255 AMETIMIZA AHADI YAKE, SASA CHALLENGE MPYA NI MILIONI 200! 🔥
Watanzania mmeonyesha kwamba mkiamua, mnaweza. Baada ya kufanikisha lengo la TSh. Milioni 100, Sativa ametimiza ahadi yake kwa kuchangia TSh. Milioni 2 kwa ajili ya Baraza Kuu la Umma.
Lakini safari haijaishia hapo.
@Sativa255 ametangaza Challenge mpya: Watanzania wakifikisha TSh. Milioni 200, naye atachangia tena TSh. Milioni 3 kwa ajili ya Baraza Kuu la Umma.
Challenge imeanza! Tumeonyesha tunaweza kufikisha Milioni 100, sasa tuungane tena tufikishe Milioni 200 na tuandike historia nyingine.
TUENDELEE KUCHANGIA KUFANIKISHA BARAZA KUU LA UMMA.
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
NMB Bank
Namba ya Akaunti: 22606600140
Jina la Akaunti: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
"Zimeshaingia kwenye akaunti ya chama shilingi milioni mia moja (100), Jana usiku niliongea na diaspora, pale pale walichanga milioni 20, Wataziweka kwenye akaunti ya chama. Nina kila sababu ya kuwashukuru Watanzania, nguvu ipo kwenye namba." Mhe. @HecheJohn, Makamu Mwenyekiti Bara
TUENDELEE KUCHANGIA KUFANIKISHA BARAZA KUU LA UMMA.
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
NMB Bank
Namba ya Akaunti: 22606600140
Jina la Akaunti: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Utasikia, “Mheshimiwa, tuko pamoja” Kama maneno haya yangekuwa vitendo, CHADEMA ingekusanya Bilioni 1 ndani ya masaa 12.
Bilioni 1 ni watu 500,000 wakitoa Sh 2,000 kila mmoja; watu 100,000 wakitoa Sh 10,000 kila mmoja; au watu 100 tu wakitoa Sh Milioni 1 kila mmoja. Tusiruhusu maadui zetu watucheke. Tusimame kwa vitendo, si kwa maneno pekee.
Tukiamua, tunaweza kukusanya hata Bilioni 10 ndani ya wiki moja. Impossible is Nothing.
M-PESA: CHADEMA HQ – 0744 446 969
CHADEMA NMB: 22606600140
VIDEO:
Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kati Ashura Masoud leo, Jumanne Julai 14.2026 amezungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma, ambapo pamoja na mambo mengine amefafanua masuala mbalimbali yanayoendelea ndani ya chama hicho na kile kilichodaiwa kuwa uwepo wa SINTOFAHAMU inayomuhusisha Makamu Mwenyekiti wa Tanzania Bara John Heche
NIMEULIZWA HIVI:
“Madeleka, kama Tanzania INAHESHIMU HAKI ZA BINADAMU, mbona watu WANATEKWA, KUTESWA, KUULIWA na KUPOTEZWA?”.
NIMEJIBU HIVI:👇
“Inategemea na TAFSIRI. Labda hiyo ndiyo HAKI MPYA YA BINADAMU Tanzania”.
BBC Africa kupitia #BBCAfricaEye wametoa Documentary kuhusu Mhe. Lissu inaitwa A FIGHT TOO FAR unaweza kutizama kupitia link hii hapa👇
https://t.co/glhG52Mk7v…
GIRISHONI amefanya niipakue hii makala, tusikilize wote.
Wote sasa tukatazame makala ya BBC AFRICA EYE ya mwaka 2026 inaangazia mapambano ya kisiasa ya Tundu Lissu na jaribio la mauaji dhidi yake la mwaka 2017, ikionyesha juhudi zake zinazoendelea za kudai mageuzi ya mfumo wa uchaguzi nchini Tanzania licha ya kukabiliwa na mashtaka ya uhaini aliyopewa mwaka 2025.
Halafu baadae tutapata muda wa kujadili kipeperushi cha Serikali katili ya CCM kilichotolewa na GIRISHONI.