@OriginoZee17 Shika jembe fala wewe,nilidili na kilimo kwa fedha ya Bodi ya mkopo nimemaliza chuo ajira hakuna nimezamia Songea nalima mahindi napata pesa mwaka wa 6 huu nimeoa na nimeanza ujenzi pia nauza yebo yebo
Endelea kusubiri ajira fala wewe
@official_eddo@babalao__ Kumfukuza ndsni mbn simple sana chukua kitunguu swaumi menya kipondeponde kisha pakaza kwe kona za nyumba juu karibu na singibodi na ktk njia azipendazo kupita hutomuona nakuambia anao doka