Nyie @tanpol hamna cha kujitetea mmeua hadi kituoni
Hii kesi ya matumizi ya Ketamine imekuwa jambo la kawaida mnaitumia kama vile mmeruhusiwa kisheria
Kesi hii ya Mtwara imetupa vizuri picha ya mateso mnayopitisha watanzania
Na mkome kusema sisi ni wachohchezi wakati mnachochea chuki dhidi yenu wenyewe!
#TutaelewanaTu
This case is about police officers who illegally injected a suspect with Ketamine then beat him senseless until he died! This is how police in #Tanzania operate - with IMPUNITY
These officers were caught and tried in court but it is the exception not the rule! It is a MESS!
#SamiaMustGo
BAJETI 2026/2027. Hapa jambo kubwa ni je mikopo yetu ni HIMILIVU? Hapana imezidi. Kwani kwa takwimu hizi
Mapato ya serikali ni Shs T36.99 kodi+T9.24 mengineyo =T36.23.
Madeni ni T7.84 yaliyoiva+T6.86 riba=T14.70.
Madeni kama asilimia ya mapato halisi ya serikali : T14.70/T36.23 = 40.57%.
Deni himilivu halitakiwi kuwa zaidi ya asilimia 18% ya mapato ya serikali. Kwa hiyo tumevuka mpaka (kima cha juu) hata kama WAKOPESHAJI watatwambia vinginevyo. Bila misaada zaidi TWAFA🏃🏻♂️🏃🏻♂️🏃🏻♂️Kodi zikizidi uwezo wa wananchi kulipa zinakwepwa au kufirisi walipaji. Inakuwa vicious circle.
Wiki iliyopita nili-post juu ya kesi hii ambayo Serikali iliwashtaki watu hawa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma kwa madai kuwa waliandika katika akakunti ya Instagram kuwa " mauaji ya 29 Oktoba 2025 hayawezi kufichwa na tume ya Uchunguzi". Nikahoji kosa lao hapo ni nini kusema tume haiwezi kuficha mauaji hayo? Nikahoji kwani tume iliposema wameuliwa watu 518 ilikuwa inamaanisha nini?
Pamoja na mambo mengine niliahidi kuwatetea mahakamani watuhumiwa hawa ambao ni mme na mke mwenye mtoto mchanga. Leo tarehe 12/6/2026 ilikuwa siku ya kesi yao. Nafurahi kuwajulisha kuwa kesi hiyo imefutwa na watuhumiwa wako huru kuanzia leo.
Watanzania, kuna takataka inatembea juu ya Mswaada wa kumshughurikia samia suluhu hassan na genge lake. Takataka hiyo inasema kuna vipengele vimeondolewa. Puuzeni. Mswaada unaanza kupigiwa kura wiki ijayo.
Nimesikia Kombo na Yuda wanakuja DC, watatukuta rada.
#SamiaMustGo #TanzaniaMassacre #FreeTunduLissu
This is my friend, Joseph Mwasote, also known as China.
China was abducted by police and security officers a few days before October 29, 2025.
After he was taken, he was stripped of his clothes and brutally tortured. We had no idea where he was. We searched for him everywhere. His son went from one police station to another looking for him, but found no answers.
China eventually resurfaced after last year’s election, physically and emotionally devastated by the torture he had endured. When he finally returned home, he learned the unthinkable: while he was being held in an undisclosed location, his son had been killed by the police.
There are many stories like this.
samia suluhu hassan and those responsible for these abuses have inflicted immense suffering on innocent people.
Tanzanians, we must not allow these atrocities to be forgotten or ignored. samia and those responsible must be held accountable. And they will be.
#TanzaniaMassacre #SamiaMustGo #FreeTunduLissu
Kwanini kesi ya Mwenyekiti wetu isogezwe mbele kwa mda mrefu kiasi hiki mara tu baada ya chama kueleza mpango mbovu wa polisi hapo kesho.
Chama kimeeleza nia ovu ya polisi dhidi ya chama chetu alafu kesi inasogezwa mbele!!!
Mahakama ya Tanzania inaondoa imani ya wananchi na kuchochea chuki kwa matendo kama haya.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kuuarifu umma kuwa shauri la Maombi ya Jinai Na. 7440840/2026 kati ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na Mwenyekiti wa CHADEMA, Mhe. Tundu Antiphas Lissu, ambalo lilipangwa kuendelea kesho, tarehe 11 Juni 2026, limeahirishwa.
Kwa mujibu wa taarifa ya Mahakama ya Rufani ya Tanzania, shauri hilo limepangwa kusikilizwa tarehe 3 Julai 2026 na kwa ajili ya Judgments, Rulings & Orders siku ya Jumatatu, tarehe 6 Julai 2026, saa 3:00 asubuhi.
‼️🚨BREAKING NEWS‼️
Mahakama imesogeza tarehe ya kesi ya Lissu hadi tarehe 3 Julai!!!!
Kwa nini dakika za mwisho na mbali hivi!?
Ule mpango wa kumpa sumu mmeona akitoka kesho mtashindwa kutimiza?! Hii mbaya sana Mahakama mnaendelea kuahirisha uhuru wa Lissu!
@judiciarytz has pushed the trial date from tomorrow 11 June to 03 July! This is highly concerning esp amid reports of possible posioning attempting of Lissu in prison
Everry single day in prison is a transgression
#FreeTunduLissu immediately and unconditionally!
Detention without trial?
Tundu A.M Lissu alikamatwa Mbinga, Ruvuma Aprili 9, 2025. Zimepita siku 427 (mwaka mmoja na siku 62) tangu kukamatwa hadi leo Juni 10, 2026.
Zimepita siku 96 tangu kesi hiyo iahirishwe katika Mahakama Kuu (baada ya kusikilizwa mfululizo kwa siku 20 za kazi tangu Februari 9, 2026).
Kesi ilipangwa kuendelea kusikilizwa Mahakama ya Rufani kuanzia June 11, 2026 kufuatia upande wa Jamhuri kukatia rufaa uamuzi wa Mahakama Kuu
Lakini kesi hiyo imehairishwa tena bila kufika siku ya kesi na pasipo kutolewa sababu za msingi za kuhairishwa kwa kesi hiyo hadi Julai 6, 2026
Tangu kesi ilipoahirishwa (Machi 6, 2026) hadi itakapofika (Julai 6, 2026) kesi hiyo itakuwa imetimiza jumla ya siku 122 (miezi 4 kamili).
Tangu leo (Juni 10, 2026) hadi tarehe hiyo ya Julai 6, 2026 ambayo ndiyo itakuwa siku ya kurejea tena mahakamani, zitakuwa zimesalia siku 26.
Kwa lugha rahisi na inayoeleweka, Tundu A.M Lissu amewekwa kizuizini. Kwanini hafikishwi Mahakamani kuendelea na shauri lake tangu Machi 6, 2026?
Mahakama kwa kutumia haki zake imeamua kuchelewesha upatikanaji wa haki zake za msingi kupitia mchakato unaoonekana kukosa haki.
Tuliwaeleza mwanzo, mmemkamata Tundu A.M Lissu na kumshtaki kwa tuhuma za uongo za uhaini ambazo hamtaweza kuzithibitisha mahakamani.
Kudadeki walahi, hata swali kashindwa kuelewa. Dah!
Hakuulizwa kama Tanzania iko kwenye vikwazo, alichoulizwa ni kwamba, Russia iko vikwazo je Tanzania inatafaya vipi biashara na Russia ambayo iko kwenye vikwazo? Je Tanzania itafanikiwa vipi kuzunguka vikwazo hivyo vya Russia na kufanya biashara?
Alichojibu form 4 failure alieiba Urais kwa kuua wananchi zaidi ya elfu 10, Tanzania haiko kwenyw vikwazo. Dah!!!!!
FOR OUR NATION TO HEAL, FIVE FUNDAMENTAL MEASURES ARE NECESSARY:
1. The establishment of a Truth, Justice, and Accountability Commission to investigate and address incidents of killings, enforced disappearances, and the discovery of unidentified bodies occurring before, during, and after the elections.
2. The unconditional release of all detainees and political prisoners, including the immediate release of Advocate Tundu Antipas Lissu.
3. The revival of the Constitutional Review legal framework and the adoption of a clear roadmap for the constitution-making process, commencing from the stage reached by the Constitutional Review Commission.
4. The authorization of an independent international investigation into all alleged violations of human rights and civil liberties, with a view to establishing the truth and ensuring accountability in accordance with international legal standards.
5. A Collective national commitment by all citizens to reject corruption, fear, intimidation, and complacency, and to place the interests of the nation above personal, partisan, or sectional interests.
TRUTH, JUSTICE, AND ACCOUNTABILITY ARE THE FOUNDATIONS UPON WHICH OUR NATION CAN HEAL AND RECONCILE.
Boniface A. K. Mwabukusi
ILI TAIFA Lipone linahitaji mambo Muhimu 5
1. Tume ya Ukweli,Haki na Uwajibikaji kuhusiana na matukio ya Mauwaji na upotezwaji wa watu na Miili Kabla,wakati na baada ya uchaguzi
2.Kuachiliwa kwa mahabusu wote ,wafungwa wakisiasa ikiwamo kuachiliwa kwa Wakili Tundu Antipas Lissu.
3.Kuhuishwa kwa sheria ya Uandikwaji wa Katiba Mpya na Kuweka utaratibu utakao anzia pale Tume ya Warioba ilipoishia.
4.Kuruhusu Uchunguzi huru wa Kimataifa kuhusiana na matendo yote yanayohusiana na ukiukwaji wa haki za Binadamu na haki za kiraia.
5.Raia wote kujikana kukataa rushwa,hofu,woga,kukataa hila na ghilba za kisiasa na kutanguliza maslahi Mapana ya Taifa mbele
UKWELI,HAKI NA UWAJIBIKAJI UTALIPONYA TAIFA.
BAK MWABUKUSI.
The challenge before us is not merely the continued reports of abductions, but the existence of operational and contextual indicators that raise fundamental questions regarding the effectiveness, independence, and accountability of the institutions legally mandated to prevent, investigate, and address such incidents in accordance with the Constitution and the law.
Where institutions entrusted with the protection of citizens are repeatedly mentioned in public discourse concerning serious human rights violations, it becomes imperative that independent, transparent, and credible investigations be undertaken. Such inquiries are essential not only to establish the truth, but also to restore public confidence and reinforce the rule of law. Justice must not only be done; it must be demonstrably seen to be done.
Accordingly, any expectation of a lasting solution cannot be founded upon commendation or official assurances alone, but upon truth, transparency, and accountability. In the absence of meaningful investigations and effective accountability mechanisms, efforts to address this crisis risk being perceived as dealing with its consequences while leaving its underlying causes untouched.
BAK MWABUKUSI TLS PRESIDENT .
Nchi yetu inafurahisha sana. Fikiria eti Serikali imewashtaki watu hawa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma kwa kusema " mauaji ya 29 Oktoba 2025 hayawezi kufichwa na tume ya Uchunguzi" hapa kosa lao ni nini? Hivi tume ilisema wale 518 walijiua?
Nitawatetea watu hawa.
JESHI LA POLISI LIMEVAMIA NYUMBANI KWA MBYELLA (ANAYEUZA NGUO NA VIFAA VYA CHADEMA NA KUONDOKA NA TSHIRT, KOFIA, NGUO NA BENDERA ZA CHADEMA:
Nimepata taarifa kuwa usiku wa manane, Jeshi la Polisi limevamia nyumbani kwa Mbyella wakidai wanamtafuta kwa kosa la kutengeneza Tshirt zenye maandishi “free Tundu Lissu”
Kwa mujibu wa mtoa taarifa, Mbyella mwenyewe hakuwepo nyumbani na Polisi walifanya upekuzi na baada ya kumkosa waliondoka kwa muda. Baadaye walirejea na Gari aina ya Fuso na kubeba nguo zote na vifaa vyenye nembo ya chadema ikiwemo Bendera za Chadema ambazo huwa anauza na kuondoka na mali hizo bila kutoa sababu zaidi.
Kwa mujibu wa mke wa Mbyella (anayeuza nguo na vifaa vya chama) nyumbani kwao kuna duka la kuuza vifaa hivyo ambavyo Polisi wameondoka navyo vyote.
Tunafuatilia kufahamu sababu hasa ya kuvamia nyumbani hapo na kuleta taharuki kwa mtu ambaye hata kama wangemhitaji Polisi, wangempatia wito na angefika kituoni kama Polisi walikuwa na jambo na Mbyella. Kuuza vifaa vya chama kama nguo, kofia, Bendera siyo kosa kisheria.