BAJETI 2026/2027. Hapa jambo kubwa ni je mikopo yetu ni HIMILIVU? Hapana imezidi. Kwani kwa takwimu hizi
Mapato ya serikali ni Shs T36.99 kodi+T9.24 mengineyo =T36.23.
Madeni ni T7.84 yaliyoiva+T6.86 riba=T14.70.
Madeni kama asilimia ya mapato halisi ya serikali : T14.70/T36.23 = 40.57%.
Deni himilivu halitakiwi kuwa zaidi ya asilimia 18% ya mapato ya serikali. Kwa hiyo tumevuka mpaka (kima cha juu) hata kama WAKOPESHAJI watatwambia vinginevyo. Bila misaada zaidi TWAFA🏃🏻♂️🏃🏻♂️🏃🏻♂️Kodi zikizidi uwezo wa wananchi kulipa zinakwepwa au kufirisi walipaji. Inakuwa vicious circle.
Somali referee Omar Artan, who was set to be the first from his country to officiate at the World Cup finals, has been denied entry to the United States.
⚡️BREAKING: The US has banned the Iranian National Football team from staying on its territory before or after a World Cup match
The Iranian team will stay and train in Mexico; it will only be allowed to enter the US on match days and must leave after the game
Iran is the only country subjected to such treatment by the United States
KARIBU KWENYE MAPAMBANO, YOUNG LISSU 💪🏽🇹🇿Mashangazi, wajomba, na Watanganyika wengi tupo nyuma yako. 🙏🏽
Now that Augustino Lissu has given his blessing to share that he joined us in Washington, DC, I can honestly say that one of the most moving moments of my recent advocacy trip was having him alongside my own son. Both are university students studying political science, being there with us.
Augustino is the son of Tundu Lissu. His father remains in prison in Tanzania after dedicating much of his life to advocating for democracy, justice, the rule of law, free and fair elections, and reforms. This is the same man who survived an assassination attempt in which 16 bullets were removed from his body. One bullet reportedly remains because of its proximity to his spine. 😢
Augustino shared his personal experience with Senate and Congressional offices, speaking not as a politician, but as a son who has grown up in the shadow of violence against his father and the long absences caused by political persecution, exile, and imprisonment. Sadly, family separation is a reality that many Tanzanian families have experienced.
He spoke about missing the simple moments many young people take for granted -a father being present, offering guidance, sharing ordinary childhood experiences.
One statement stayed with me:
“I never really got to play catch with my father because his arm could not fully stretch anymore. All I know is that throughout my father’s adult life, he has fought for what he believed was right, and he has been punished for it.”
To sit in that room and listen to his testimony was deeply emotional. No lens or sunglasses could hide my tears. And with my own son sitting beside me, the weight of that moment became even more personal.
It is painful that Tundu Lissu, after surviving violence and dedicating his life to public service and advocacy, remains in custody amid ongoing concerns about his health and access to appropriate medical care & missing health checkups.
Whether one agrees with him politically or not, every human being deserves due process, dignity, and justice.
How can this be normalized? How can this continue without accountability?
What exactly is his wrongdoing other than advocating for the principles he believes in?
We continue to call for the release of Tundu Lissu and for justice for all those who remain detained, disappeared, persecuted, or targeted for speaking their truth.
Release Tundu Lissu. Deliver justice.
🇹🇿🙏🏽
#freetundulissu #FREETUNDULISSU
@tedcruz@SenatorShaheen@RepJoeWilson@StateDept@SenateForeign@SFRCdems@USCIRF@RepJoeWilson@SFRCdems@StateDept@SenateForeign@hrw@amnesty@oneafricashow@LarryMadowo@RepPressley@IntlCrimCourt@HouseForeignGOP@HouseForeign@Europarl_EN@EU_Commission@UN@Reuters@BBCWorld@CNN@AJEnglish@AP@nytimesworld@Pontifex@MetropolitanAME@TPHDallas@BishopCEBlake@fellowshipchi@mtzionnashville@impact_dc@afmbcdallas@TheGroveAtlanta@Bethany_BBC@4NBethany
AIBU YA MWAKA HUKO RUSIA KWA MWENYE PhD 8
SWALI ALILOULIZWA SAMIA KWA MARAISI WA CCM NI MPAKA au NYERERE TU WANGETOBOA.
Samia ameulizwa swali na mwandishi wa Habari wa Russia, tena kwenye mkutano ambao uko chini ya control ya serikali au Putin. Swali limeulizwa: 'Sisi tunafanyaje maendeleo na ushirikiano wakati kuna vikwazo?' Wakati swali linaulizwa, unaona Putin anatabasamu kwa bashasha kubwa, maana hapo ndipo Putin alitaka kujua: 'Hapa tuna rafiki au msanii tu?'
Malengo ya lile swali hili ilikuwa ni Samia ongee akiwa kwenye ardhi ya Russia na kupeleka moto mkali kwa Marekani na Ulaya. Haya ni maswali ya kijasusi, si maswali ya moja kwa moja kujibiwa kienyeji kama alivyofanya, akaanza kulia kwamba ana uhusiano na Ulaya hakuna vikwazo.
Hahaha, Putin yeye hana la kumtisha na Ulaya au Marekani, alitaka sasa aone Samia akijitoa kwenye network na kuongea kama kiongozi wa Korea Kaskazini na kujipiga kifua kwamba sisi vikwazo siyo kitisho kwetu, tuko huru, bla bla, tunasimama wenyewe, hatutaki kuingiliwa.
Hayo ndiyo majibu Putin alikuwa anasikiliza, sababu kwa mazungumzo ya chumbani, Samia najiona mwamba kwamba yeye atishiki. Sasa walimtia pale kwenye ubao aongee tena hayo anayosema. Akashindwa, na mbaya zaidi, akabadilisha na lugha kabisa kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili.
Kwa wenye akili kama ya Putin, washajua kwamba hapo hakuna mtu ni msanii tu anasaka pesa, Putin sio boya alisha mseti aseme mbele ya Dunia.
Swali lenyewe liliunganishwa kwenye angle ya Ukraine, kama angekuwa na akili kidogo kusoma chumba, angesoma kwamba hapo ni wakati wa kuchagua mchumba mmoja, Rusia au Magharibi, akaamua kutembelea vyombo vyote. Kitu ambacho hakimsaidi ni kwamba kuwa na Putin tu pale ni kimeo.
Putin kweli, malengo yake yametimia, wewe mwenye PhD 10 umeshindwa kuelewa walioulizwa nini. Anaruka akisema mimi sina vikwazo. Mwandishi wa Habari wa Urusi ametumwa na serikali ya Urusi, wanajua vikwazo vyanavyo, sasa unaambiwa na Urusi una vikwazo, wewe unamkatalia KGB? Wao wanafanyia kazi mambo ya mbele, wamesha confirm kwamba unapigwa vikwazo kila kona, unakana?
Kwa kifupi, Rusia walikua wanamwambia Samia: kwamba wewe una vikwazo tayari je tunasonga vipi mbele na wewe? Kama uwezi kukoma kwenye mazingira ya vikwazo hatuna cha kufanya na wewe, na Samia ameshindwa kuonyesha mkakati alionao ili kufanya ushirikiano akiwa na vikwazo.
Kwa Dunia ya sasa hakuna Kiongozi yeyote anayekwenda Rusia kwa sasa ambayo bado anapambana kuwa na mahusiano na Ulaya na Marekani, unapo chagua ushirika na Rusia unaachana na ushirikiano na Mataifa hayo mengine, haiwezekane ukalamba kotekote sababu hali ya sasa Dunia inakataa kutokana na Rusia kuwa kwenye mgogoro wa Kijeshi na hayo mataifa mengine.
Hivi inawezekana vipi Ulaya wakaachana mpaka na nishati ya Gas ya kutoka Rusia wananchi wao wakateseka, halafu Tanzania ikaenda Rusia kufanya biashara na Mrusi kisha Tanzania hiyo hiyo ikaenda Ulaya na Marekani kufaidia na misaada na biashara pia ? Huu ujinga mbona ni wa kiwango cha lami? Matarajio ya kila mtu ilikuwa ni hii safari ya maCCM huko Rusia ni kufunga ndoa na Rusia na kuachana na Magharibi yenye masharti mengi ya haki za binadamu na demokrasia kwamba hii ndio ilikuwa point ya safari .
Kwa hiyo Suala la vikwazo lilikuwa si la kukana; lilikuwa la kuelezea yeye, Samia, anapitisha vipi serikali ya CCM kwenye hivyo vikwazo au anakomaa vipi kwenye ushirikiano wake na Russia wakati huo akiwa na vikwazo hapo Putin angepima kama amepata mdau. Akili zimeganda, mnakomalia madaraka. Unakubali kwenda kuongea mbele ya media za nchi zinazosoma usichosema. Rusia ni majasusi wanajua vizuri Tayari ni suala la muda tu kina umma vikwazo vinakuja, sasa unawabishia
Rusia wanajua nini kilitokea Tanzania, Lakini wanajua mambo ambayo Samia amezungumza baada ya kufanya mauaji ( nimeweka video moja hapo chini) , Nchi kama Rusia unapokwenda wanakuchungulia kwa darubini , KGB wanafanyakazi yao vizuri kujua mgeni ni wa aina
Maandamano ya 7/7 yalioandaliwa na GEN Z binafsi nayaunga mkono asilimia mia mbili.
Kiuhalisia naona 7/7 yenyewe inachelewa kufika. Watu hawajazika wapendwa wao mpaka leo ni miezi 7 wanaomboleza hakuna MAJIBU KUTOKA Kwa wakoloni weusi.
Watanzania bado wanaendelea KUTEKWA NA KUPOTEZWA kila siku—wengine wakiwapata wapendwa zao wanawakuta hawana VICHWA wanazika kiwiliwili na hakuna majibu kutoka kwa WAKOLONI WEUSI.
TUNDU LISSU bado yupo jela na hakuna KESI dhidi yake zaidi ya siku 400 sasa, na wakoloni weusi wapo KIMYA tuu ni kama wanaona wanatumudu.
Haya maumivu tunayopitia watanzania lazima wajue tunaumia na sauti yetu lazima waisikie.
Dear Augustino Lissu, stay stronger and thank you for showing up to demand your father’s liberty. SC Tundu Lissu is extremely proud of you. Stay vigilant & unbowed, son. Wear that AURA and walk his talk, young🐐!
Dear World never forget that Samia Suluhu and her murderous cabal targeted and killed young men including talented footballers in their homes!
Hawa wauaji wanaosema wanakuza vipaji vya U17 ni wanafiki - waliwaua majumbani mwao vijana wenye kipaji cha mpira
Ushetani huu mtaulipa
#SamiaMustGo
This 👇🏾 is Samia’s son Abdul Ameir Hafidh accused of crimes against humanity. shoved in the midst of the official delegation of Tanzania to Russia
His only claim to fame is being the President’s son yet here is front row!
Tanzania is officially a republic - but this family has zero understanding of this and behave like some royalty! How pathetic!
#SamiaMustGo
Abdul,
Pengine mengi yanayosemwa mitandaoni na mitaani dhidi yako si ya kweli. Lakini ikiwa hata asilimia ndogo tu ya yanayosemwa yana ukweli ndani yake, nakusihi uyatafakari kwa makini na kuchukua hatua mapema.
Historia inatufundisha kuwa wale wanaoshangilia na kupiga makofi juu yetu leo wanaweza kuwa mashahidi wa kwanza kesho mambo yanapobadilika. Nguvu, umaarufu na ushawishi ni vitu vya muda, havidumu milele.
Kumbuka pia kwamba nafasi na mamlaka ya wazazi wetu si ya milele, na wewe bado una safari ndefu sana mbele yako kama kijana. Hekima kubwa ni kujenga heshima, uadilifu na jina jema mapema kabla ya mazingira kubadilika.
Mungu huchelewa wakati mwingine, lakini haki yake haipotei. Ikiwa kuna jambo lolote lisilo sahihi, kurekebisha njia mapema ni busara kuliko kusubiri wakati ambao marekebisho yatakuwa magumu zaidi.
Huu ni ukumbusho wa KIMUNGU, kwa nia njema. Sijui hata kwa nini nimeandika. Lakini kesho huwa inafika.
The whitewash of Samia Suluhu online campaign and attack on activists and human rights defenders is heavily funded by Tanzanian Taxpayers through the illegitimate govt of Samia Suluhu - I am reliably informed that agency in Kenya running the campaign is Oxygène Ke
They have the right to deny or confirm as we are preparing legal action!
We will not stay quiet or cower in the face of malicious lies
Everyone who takes part will be added to every legal process nationally, regionally and internationally aa accessory to #TanzaniaMassacre and will pay the price! This is not a threat but a promise!
You have been informed
Kombo anadai polisi ukimuonesha jiwe anatakiwa akupige risasi ufe.
Kwamba ndicho walichofanya Okt 29; wakitekeleza Katiba.
Kwamba wame heal baada ya mauwaji ya Okt 29!
Hivi hawa watu wanajua shimo walilojichimbia?
Mmeuwa alafu mme heal?
Uwajibikaji je? Kaeni rada!
Dear @Europarl_EN
A few months ago, Tanzania's Minister of Foreign Affairs, Mahmoud Thabit Kombo, and his delegation visited Brussels to engage with the European Parliament.
During this visit, they implored you not to impose sanctions and restrictions, despite the fact that by October 29, the regime had gunned down over ten thousand Tanganyikans, many of whom were denied the right to live, reflecting a troubling disregard for human rights.
However, in Parliament yesterday, Minister Kombo stood up and boasted and mocked you. He claims that when they came to speak with you, the European Union imposed "free free" conditions on them, referring to the demands you made, including the release of Hon. Tundu Lissu.
Kombo has since proudly claimed that he rejected those demands, asserting that no foreign institution has the right to dictate how our country should be governed.
After ridiculing you in their illegitimate Parliament, they are scheduled to return to Brussels to request grants. This behaviour suggests a concerning pattern that deserves your attention. I hope you have noted the discussions surrounding his mission in Europe.
It is important to recognise that the CCM and the current regime are seeking endorsement in the form of grants and financial support. They may use such funds for political propaganda, undermining the importance of accountability. Please do not fall into the trap of becoming complicit in this situation.
Cc. @EU_Commission@davidmcallister@BarryAndrewsMEP@gahler_michael@RobertBiedron@UdoBullmann@ErikMarquardt@European