Kama wewe ni Mtanzania diaspora na unaumia na mauaji ya October 29 ila mpaka leo haujatuma chochote kwa Chadema jijue wewe ni sehemu ya tatizo.
Chadema wanahitaji pesa ili kutusaidia Watanzania kupata haki. Hawalipwi ruzuku, wanatutegemea sisi wananchi.
Leo nimewatumia $1,000. Wewe diaspora mwenzangu ukiwatumia hata $10 inatosha.
Watanzania, mambo yanaendelea vizuri. Dunia ipo na sisi. Msiwe na hofu, tutashinda. Bado kuna kishindo kinakuja. Keep on fighting.
Nipo na begi la maamuzi magumu. Yajayo yanafurashisha
#TanzaniaMassacre#FreeTunduLissu
Haya maandamano ni ya muhimu sana na lazma yasukumwe sana na watu ambao mna access na wananchi both online and on the ground.
Watanzania no one is coming to save us. Lazma tujipiganie wenyewe. We have to fight for a new constitution, Tundu Lissu’s freedom, accountability for October 29 massacre. and we have to fight for new free and fair election.
International pressure itasaidia mauwaji kuogopa kuua tena ila the rest of the work Lazma tufaye wenyewe.
It would be a grave mistake for the U.S. Senate to address the October 29 massacre in Tanzania without also examining the role that @Meta played in helping the Tanzanian government conceal the killings and extend its repression beyond Tanzania’s borders.
When a foreign government can pressure a U.S. technology company into silencing critics, while the U.S. government itself appears unable to protect those voices, it raises serious national security and free speech concerns.
I was sitting in Los Angeles, California, yet I lost my voice on a major social media platform because of actions taken by the Tanzanian government through a U.S. tech company. The repression did not stop at Tanzania’s borders, it followed its critics into the United States.
No government should be allowed to use American platforms to suppress dissent, silence victims, or hide evidence of human rights abuses. Accountability must extend not only to those who commit atrocities, but also to those who enable their concealment.
At the very least META should face fines for its roles in the Tanzania massacre and human rights violations. Meta is an accessory after the fact.
@POTUS@SenateForeign@SFRCdems@SenTedCruz@SenatorShaheen@SecRubio@Meta@CNNAfrica@bbcswahili@LarryMadowo@tausilikokola@Liberatus80 We need to push for this as much as we are pushing for accountability from the Tz government. Bila kupata zile account za instagram hakuna movement ya maana Tufanya hapa.
SWAHILI
Itakuwa kosa kubwa sana kwa Seneti ya Marekani kujadili mauaji ya kikatili ya Oktoba 29 nchini Tanzania bila pia kuchunguza nafasi ambayo Meta ilicheza katika kuisaidia serikali ya Tanzania kuficha mauaji hayo na kueneza ukandamizaji wake nje ya mipaka ya Tanzania.
Wakati serikali ya kigeni inaweza kuishinikiza kampuni ya teknolojia ya Marekani kuwanyamazisha wakosoaji wake, huku serikali ya Marekani yenyewe ikionekana kushindwa kulinda sauti hizo, jambo hilo linaibua wasiwasi mkubwa kuhusu usalama wa taifa na uhuru wa kujieleza.
Nilikuwa nimekaa Los Angeles, California, lakini nilinyang’anywa sauti yangu kwenye moja ya majukwaa makubwa ya mitandao ya kijamii kutokana na hatua zilizochukuliwa na serikali ya Tanzania kupitia kampuni ya teknolojia ya Marekani. Ukandamizaji huo haukusimama kwenye mipaka ya Tanzania; uliwafuata wakosoaji wake hadi Marekani.
Hakuna serikali inayopaswa kuruhusiwa kutumia majukwaa ya Marekani kukandamiza maoni tofauti, kuwanyamazisha waathirika, au kuficha ushahidi wa ukiukwaji wa haki za binadamu. Uwajibikaji haupaswi kuwahusu tu wale wanaotenda maovu hayo, bali pia wale wanaosaidia kuyaficha.
Angalau, Meta inapaswa kukabiliwa na faini kutokana na nafasi yake katika kuficha mauaji ya Tanzania na ukiukwaji wa haki za binadamu., Meta inaweza kuonekana kama mshirika aliyesaidia kuficha au kuwezesha vitendo hivyo baada ya kutokea kwake.
#TanzaniaMassacre
Samia Suluhu’s murderous cabal shot this child among many😭 This case haunts me every day!
He was so shocked, poor baby! Based on his clothes and his unkept state, I assume he was one of many street children that we were told by witnesses were killed
The protestors stayed with him til the end - at least he didn’t die alone 😢
I want y’all to understand how EVIL this woman and her regime are! @IntlCrimCourt@Europarl_EN@SenateForeign@SFRCdems@IMFAfrica
Hii video iliniliza sana - huyu mtoto ni kama amemnyooshea kidole Mungu 😭 anashangaa haelewi kinachoendelea, walimwua kikatili sana
Samia Suluhu alimwaga damu yake huyu mtoto na maelfu wengine ili aapishwe kwa nguvu! Damu za mashujaa hawa haiwezi kwenda bure!
Mashetani hawa lazima walipe hapahapa!
Mungu awape amani wote waliouwawa kikatili hivi! Ila wasipumzike kwanza kila usiku wazuke kwa huyu Mwuaji In Chief akose usingizi! Watapumzika tukishawaondoa hawa wamwaga damu!
#SamiaMustGo
I have the utmost respect for leaders who recognize the inherent dignity and equal rights of every human being. On behalf of many Tanzanians seeking justice, accountability, religious freedom, and the protection of fundamental human rights, thank you @tedcruz and @SenatorShaheen for your leadership and willingness to listen then acted.
A special thank you to Senator Cruz’s office, for taking the time to engage with us. We are equally grateful to Congressman @RepJoeWilson office for meeting with us and hearing directly from those advocating for justice in Tanzania.
We appreciate the continued attention to Tanzania’s human rights situation, including loss of life, enforced disappearances, abductions, religious repression, restrictions on fundamental freedoms, and the continued imprisonment of Tundu Lissu.
As members of the diaspora, we will continue informing, engaging, and encouraging support for efforts that advance justice, partisan introduced bill, accountability, religious freedom, and human rights. Tanzania needs justice. Tanzania needs accountability. Tanzania needs the release of Tundu Lissu.
Thank you for caring. 🇹🇿🇺🇸🙏🏾❤️
When leaders are able to take or retain power through violence and killings against their own citizens and then avoid accountability of any form or under the protection of geopolitical hegemony, it sends a dangerous message to the world. It suggests that human rights violations and abuses of power can be shielded when backed by powerful international alliances. This threatens not only regional stability and regional security, but also humanity as a whole, other nations, and the universal principles of justice, human dignity, and accountability.
Go figure who is in Russia now seeking partners to shield and avoid accountability? The one who claimed victory in the presidency at 98% 🇹🇿, while over 10,000 innocent individuals were killed with bullets on the streets and inside their own homes.
This cannot be allowed; otherwise, dictators will think they can do this and stay in power.
Tanzania needs justice.
Tanzania need Justice.
Tanganyikans like myself are crying for justice.
Our hope now is the US.
Calling all diaspora to act NOW! Support the bill. Call your representatives and senators to support the partisan bill, write to them and use the great America freedom -Save Tanganyika.
@POTUS@WhiteHouse@mangekimambi@SFRCdems@SenateForeign@StateDept #HumanRights #ReligiousFreedom #Justice #FreeTunduLissu #Tanzania
@RepJoeWilson@SFRCdems@StateDept@SenateForeign@hrw@amnesty@oneafricashow@LarryMadowo@RepPressley@IntlCrimCourt@HouseForeignGOP@HouseForeign@Europarl_EN@EU_Commission@UN@Reuters@BBCWorld@CNN@AJEnglish@AP@nytimesworld@Pontifex@WSJ@washingtonpost@Pontifex@MetropolitanAME@TPHDallas@BishopCEBlake@fellowshipchi@mtzionnashville@impact_dc@afmbcdallas@TheGroveAtlanta@Bethany_BBC@4NBethany
Nashangaa mkuu wa mjengo wao anawaona watoro wa mahudhurio tu, hawaoni wale waliopo mjengoni lakini kazi yao kubwa ni kupiga meza kwa nguvu (Noise pollution!) kila baada ya koma kana kwamba ndiyo kipimo cha utendaji. Tofauti kati ya hawa wawili ni kwamba mmoja ni mtoro wa mahudhurio, mwingine ni mtoro wa mawazo na mijadala ya msingi. Wote ni watoro!!
To any human being who cares for humanity -do unto others as you would like done to you.
We tried to engage through dialogue and diplomacy long before October 29th on the escalating human rights concerns in Tanzania. Unfortunately, Tanzania government still killed many during October 29th elections and many lives were disrupted. Some of us will continue to be on the front lines to seek justice and advocate to those who can’t. These efforts contributed to a bipartisan bill to review the U.S.–Tanzania relationship.
Of many communications and visits to the U.S. Senate, I do not share every step, but the work is being done. And it will continue until justice and the common good for all Tanganyikans is achieved.
Recently visited both Senate offices of those who introduced the bill @SenatorShaheen and @tedcruz -to express gratitude for their willingness to listen and engage on matters of human life, religious freedom, democracy, human rights, and accountability.
We continue to bring in more support from other Senators and Representatives as we work to ensure the United States, and ultimately the @WhiteHouse@POTUS, is fully informed about the truth of what is happening in Tanzania - including the loss of lives, enforced disappearances, abductions, political imprisonment, torture, a stolen election, silencing of dissent, restricted media access, and limitations on access to information. The list goes on.
The EU Parliament has condemned the Tanzanian government, and the U.S. is taking steps toward accountability measures against those responsible for the suffering.
We all can do something for thousands of Tanzanians who may not be in a position to speak or act. All law-abiding diaspora in the U.S. -the time is NOW to act. You have a voice in the great land of freedom 🇺🇸-use it.
Reach out to your representatives and Senators. Tell them Tanzanians are being held under fear and cannot freely speak. Tell them about the bill, so that it can be supported and passed- sooner than later.
No trips to Russia, China, or Arab countries from regime🇹🇿will erase or solve this reality- that lives were lost to those responsible to remain in power. What matters is the future that ordinary people can vote freely, worship freely, access education, access healthcare, and live with dignity.
Because the truth is-when a child of the poor is shot, many remain silent. But when accountability begins to touch power, suddenly there is noise.
This is not a fight for a few of us. It is for every human being who believes in dignity and justice.
I have travelled back and forth to DC, paid for my own flights and accommodation, left my children, and walked those Capitol Hill corridors in heels until they broke.
This time, we also brought forward voices of those directly affected. In a Senate conference room, as testimony was shared, my tinted reading glasses could not hide the tears. I tried to hold them back, but they kept falling - because these are real human lives, not statistics.
There is a narrative that U.S. Senators only hear one side. That has not been my experience. Serious institutions as senate offices conduct due diligence, ask questions, and engage multiple perspectives before making decisions.
As we sat in that room, staff were actively taking notes - page after page - because every detail matters. Truth matters. The same cannot always be said for every visit received there-go figure. But I believe in justice. I believe in accountability. And I believe in humanity. We are not done yet but close to justice. Together we can. Together, humanity shall win. 🇹🇿🙏🏾
@mangekimambi your video & message will reach the parliament 🇺🇸 & @WhiteHouse@RepJoeWilson@SFRCdems@StateDept@SenateForeign@hrw@amnesty@oneafricashow@LarryMadowo@RepPressley@IntlCrimCourt@HouseForeignGOP@HouseForeign@Europarl_EN@EU_Commission@UN@Reuters@BBCWorld@CNN@AJEnglish@AP@nytimesworld@Pontifex@TPHDallas@BishopCEBlake
Hebu tuwaze nje ya BOX!!🤔
What if, ni mchezo wanautengeneza ili kumfanya VICEnt apate sympathy kwa wapiga kura….kisha ndio iwe next kete yao 2030!!🤔
Yes, coz sio mara yao ya kwanza kuyafanya hayo!! Wameshaitumia sana hii strategy huko nyuma na wakafanikiwa!!
Nikurudishe 2017
TAL alipopigwa pyuu pyuu 🔫
wengi walimchukia Banza kwa lile
tukio!!
Hisia zangu zinanambia #MasterMind aliitumia hii opportunity akamtuma Kizim-Job akampe pole TAL!!
sidhani kama ile move ya kwenda kumuona na kumpa pole TAL ilikuwa bahati mbaya ile, huwa always nahisi it was strategically planned na pengine mtoa pole hakujua kama ni mchoro anachorewa, yeye aliamini anatenda utu….but kuna watu behind the scene walipush ile move!!
Ili kumjengea sympathy,imani na upendo kwa raia, kwamba kati ya wanachama waandamizi wooote, ni huyu pekee kajitoa kwenda kumuona mgonjwa.
Basi huyu ana upendo sana!
Basi huyu atatufaa kutuongoza!
Huyu sio katili kama Banza!!
Kumbe MasterMind anasema huyu
Ni next kete yetu tutamtumia siku za mbeleni, tayari anauzika kwa wapiga kura!!
Haya miaka imepita….
vipi leo bado sio katili!!?🤔
Sasa nashangaa sana kuwaona baadhi ya wanafamilia wakiingia kwenye huu mtego tena mapema sana, bila hata kuwaza nje ya box!!
Tena wengine ni watu senior na very influential kwenye siasa na harakati!!
Wanaanza kumpongeza VICEnt kuona huruma, kumfanyia PR na kumu-endorse kwa raia….Pasi kujua kufanya hivyo ni kurudia makosa yaleyale ya kujikuna Nyashi kisha unakata kucha kwa meno!!
Ni kweli VICEnt anaonekana kuwa mtu poa currently, lakini shida ni familia ileile!!
Iko hivii…..hawa jamaa ni very smart na calculated!
Wanajua fika now wako kwenye nyakati ngumu sana kujiuza kwa wananchi kutokana na waliyoyafanya….Nyama ngumu kwelikweli!!
Wana changamoto kubwa
ya who is next? ambaye wata msimamisha na raia wakampokea na kumkubali bila makwasukwasu yoyote!!
Hapo sasa kwenye Who is next, ndiyo nahisi #The_Master_Mind huwa anakujaga na mchoro wa kutafuta exit!!
Kwamba watengeneze beef/vita/misunderstandings wao kwa wao ndani kwa ndani, then habari zitoke nje kwa raia….kuwa kuna mpasuko ndani ya chama!!
Then ile kete wanayoitaka wao ndio ionekane kwa raia kama ndiyo inaonewa ndani ya chama au kama ndiyo shujaa inasimama na raia!!
Na raia tulivyo na mtindio wa ubongo tunajaa kwenye huo mfumo!
Tena wakati mwingine #MasterMind anaweza akachezesha huu mchoro bila hata kuwashirikisha wahusika wakuu, yaani main characters wakawa wanapasuana kiukweli, kumbe kuna mtu behind the scene anawachezesha filamu!!
Anagusanisha nyaya, anapigisha cheche bila wao kujua….
KUWENI NA MISIMAMO
KUWENI NA KUMBUKUMBU
WAZENI NJE YA BOX
MSIJAE KIZEMBE
Nways labda niko wrong na hisia zangu!!
Tatizo naangalia sana movies za watu waBad wanavyoRemote Gavoo na Viongozi!!
zinaniharibu sana!!
This happened in Kahama after the youth protested demanding free and fair elections.
Dada hapa ni kakola kahama waha wote walipigwa risasi na police wa Tanzania siku maandano oct29 wate walikufa