Top Tweets for #CCMMustGo
@MsigwaGerson Tanzania massacre committed by the murder squad @ccm_tanzania and the jihadist terrorist @SuluhuSamia on Tanganyikans in Tanzania. Over 10,000 murdered by these killers Julius Nyerere would jailed this criminals like @MsigwaGerson and the rest #CCMMustGo #SamiaMustGo

@bbcswahili The jihadist Butcher @SuluhuSamia and @ccm_tanzania CCM is not a political party, It is a terrorist organization. It's about time we start treating it like the terrorist organization it is. #Tanzaniamassacre #CCMMustGo @IntlCrimCourt @hrw @amnesty
SAMIA SALUHU NI MUUAAJI!
TAFAKARI
Kinachoendelea dhidi ya Nchimbi si geni kwake na ndiyo maana anaonekana anajiamini!
Kuna watu waliokuwa katika nafasi nyeti ambao huwa hawaguswi hovyo ila kimama kilitumia nguvu na vitisho kuwatoa
-Job Ndugai - Spika
- DG TISS watatu - Diwani, Masoro na Siwa walibadilishwa ka nguo na Bi Kizimkazi
- Philip Mpango - Makamu Rais aliambiwa asichukue fomu kabla hata ya muda na akachomekwa huyu Nchimbi
- Kassim Majaliwa - alizuiwa kuchukua fomu kugombea
Sasa Nchimbi alikuwa pembeni anaangalia na kushiriki wenzake wakitolewa - zamu yake imefika ila jaribio hiki ipo muda na anajua hatua wanazotaka kuchukua
Sasa angalieni hawa watanganyika wote wanatolewa kiholela na kimama mzanzibari na familia yake alafu nyie wengine mnaangalia tu! Na nyie mtafikiwa kama Nchimbi
Acheni kutumika na pambaneni tuache kukubali nchi kuendeshwa kama kiosk ya aspiring air hostess
Nasema #TutaelewanaTu

😆 iko namna hii ndugu zangu #wananchi. #SamiaMuuaji na genge lake wamebanwa kimataifa, hakuna pesa. Tukiwaachia, wanakuja kututafuna sisi wote. Hawa magaidi watatumaliza. Lazima tuchukue hatua haraka sana. #CCMmustGo #SamiaMustGo for real. Tusiwachekee.
Pin this📌
‼️MFUMO MPYA WA KIMAGUMASHI WA KULIPIA FORODHA T-CAMS NA FAMILIA YA RAIS‼️
Kama nilivyowaeleza kuna kashfa kubwa na iko kwenye mfumo mpya wa ulipaji forodha ulioletwa ghafla bin vup na genge la watawala. Mfumo huu mpya unaoitwa T-CAMS inaendeshwa na kampuni inayoitwa Capital Pay ambayo mmiliki wake mkuu ni Garang Malek kutoka South Sudan. Kampuni hii ina kampuni shiriki inayoitwa Crawford Capital inayoendeshwa na mtoto wa Salva Kiir iliyopigwa sanction na Marekani kwa sababu ya UFISADI. Hii nitaiongelea siku nyingine tuje sasa kwa huku Tanzania
Capital Pay Ltd imeingia makubaliano na TAFFA au TASAC.
Tanzania ni Tanzania Freight Forwarders Association yaani Chama cha Wasafirishaji Mizigo Tanzania
TASAC ni Tanzania Shippings Agency Corporation au Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania
Waliosaini mikataba ni mabosi wa haya mashirika ila wadau hawajashirikishwa kabla kikamilifu maana waligusiwa kwenye mkutano mkuu Oktoba 2025 ila wakaambiwa muda umeisha watapewa maelezo baadaye ndo ikaishia hapo. Sasa wamekuta tu March 16 hawa wamesaini mkataba na TAFFA na TASAC na TRA wameshuhudia haya. Huu mfumo mpya unataka malipo YOTE ya forodha ya uagizaji kutoka nje upitie hapo na hawa Capital Pay wanachukua 25% ya ada wanayolipwa mawakala wa usafirishaji. Mpo? Kumbukeni huu mfumo si wa MUUNGANO bali ni wa TANGANYIKA tu!
Sasa baada ya mawakala kuona haya madudu kupitia TAFFA wakaamka na kuanza kupinga huu utaratibu na kutaka maelezo zaidi.
•Uhalali na ubora kwa kutumia mfumo kutoka kwa taasisi ya kigeni iliyoanzishwa hivi karibuni, hasa ile inayotoka katika eneo lisilo na miundombinu imara ya bandari inayoweza kulinganishwa na ile ya Tanzania yaani South Sudan
•Athari za kiusalama zinazotokana na kuipa kampuni ya kigeni fursa ya kufikia taarifa nyeti za kitaifa za kibiashara, ikiwemo taarifa za uingizaji na usafirishaji wa bidhaa. Hali hii inazua maswali muhimu kuhusu ulinzi wa taarifa, usalama wa taifa, na uhuru wa nchi.
Wakapuuzwa! Wameendelea kufuatilia na ndipo ndugu yetu Mapete (Waziri Salum) akaibuka! Akaanza kuwatishia wadau na wengine wametekwa hivi karibuni kwani mfumo huu wa T-CAMS ilitakiwa kuanza kutumika Agosti 01. Waliotekwa wamepelekwa Central Police na wanahojiwa na kuteswa chini ya usimamizi wa askari mzanzibari Mzee Ibrah! Wanaambiwa wadau kuwa huu mradi ni wa familia ya Rais haramu Samia Suluhu na familia ya watawala wa South Sudan. Pia Mombo anatajwa kama mdau. Ila anayeonekana front ni huyu Mapete – bize!
Baada ya mambo kuzidi kuwa tete wazalendo wameamua wapeleke demand notice kwa wahusika wote wakiwemo TRA na kutaka wasitishe huu mfumo la sivyo watafunguliwa kesi na hoja ya kisheria ni kwamba kwa mujibu wa East African Community Customs Management Act, 2004, usajili, utambuzi na usimamizi wa Customs Clearing and Forwarding Agents uko chini ya Kamishna wa Forodha wa TRA. Sheria hii haitoi mamlaka kwa TAFFA au TASAC kusimamia leseni za Customs Clearing Agents isipokuwa pale sheria nyingine itakapotoa mamlaka hayo kwa uwazi. Katiba inalinda misingi ya utawala wa sheria, usawa mbele ya sheria na haki ya kufanya biashara kwa mujibu wa sheria. Kwa hiyo: taasisi yoyote inayoweka masharti au tozo bila mamlaka ya kisheria inaweza kuwa inakiuka misingi hiyo; haki na wajibu wa wananchi na wafanyabiashara lazima viwekwe kwa mujibu wa sheria, si kwa makubaliano ya kiutawala pekee. wapo kuna tozo mpya, ada ya lazima au mfumo unaowalazimisha Customs Clearing and Forwarding Agents kulipa kupitia TAFFA au TASAC, ni lazima ionyeshwe wazi kifungu cha sheria kinachoruhusu tozo hiyo.
Watanganyika AMKENI! Huu upuuzi hadi lini?
Kuna mengine mengi ila kwa sasa nimeanza na haya mengine tutafuatilia kimataifa!
ACHENI UPUUZI watanganyika kwenye mfumo!
#TutaelewanaTu

@EduTalkTz Huyu jamaa kumbe mjinga kiasi hiki! I feel so sorry kwa wanafunzi anaowafundisha. Hii nchi ndio maana Ina vijana wanahangaika kutwa kusifia ujingax2 tu. #CCMMustGo #SamiaMustGo
What they’re trying to do is to make it seem life the corrupt and failed court system is fair don’t buy the drama. The killer @SuluhuSamia must leave #CCMMustGo
Hongera Lissu kwa kuibwaga jamhuri 🫡🫡🫡🫶

@Ngattaboe99 @Sativa255 We Tahira acha ujinga kwanini 2030? Inabidi tupiganie nchi yetu kuto hawa watu wa haram Samia na genge lake CCM. #CCMmustGo
Mpumbavu mkubwa zero brain anadhani anaweza kuhadaa dunia na hivyo vyama vyake feki vya mfukoni. 🙄Usijichoshe #SamiaMuuaji, jiandae kuondoka tu. #Wananchi tumekukataa. YOU #SamiaMustGo na chama chako cha magaidi #CCMmustGo mnanuka damu nyie 🚮

@ikulumawasliano Mpumbavu mkubwa zero brain anadhani anaweza kuhadaa dunia na hivyo vyama vyake feki vya mfukoni. Usijichoshe #SamiaMuuaji, jiandae kuondoka tu. #Wananchi tumekukataa. YOU #SamiaMustGo na chama chako cha magaidi #CCMmustGo mnanuka damu nyie 🚮
The jihadist Butcher @SuluhuSamia and @ccm_tanzania CCM is not a political party, It is a terrorist organization. It's about time we start treating it like the terrorist organization it is. #Tanzaniamassacre #CCMMustGo @IntlCrimCourt @hrw @amnesty
The Tanzanian police are murderers who killed over 10,000 citizens. The order was given by the butcher jihadist @SuluhuSamia and the @ccm_tanzania cartel #Tanzaniamassacre #CCMMustGo
HALI YA USALAMA NCHINI NI SHWARI, POLISI TUTAENDELEA KUPOKEA TAARIFA ZA NIA YA KUFANYA MIKUTANO KWA MUJIBU WA SHERIA

Watekaji wakiwa nje ya Geti la makamu mwenyekiti Mhm.John Heche huko Mwanza wanamvizia ili wamteke , watu wa Mwanza mkiwakamata hawa chomeni Moto.
“Magaidi” wa CHASO Mbeya wana morale sana. Wanasema peace ✌🏿
#SamiaMustGo #FreeTunduLissu #TanzaniaMassacre #CcmMustGo

@UNGeneva https://t.co/0mItIloCpi
Please don't look away from what's going on in Tanzania.
#Tanzaniamassacre2025
#TanzaniaIsNotSafe
#CCMMUSTGO

#SamiaMuuaji 🚮Jambazi lakike. Muuaji. Murderer. #TanzaniaMassacre inamhusu na atalipa TU. #SamiaMustGo #CCMmustGo
Huko CCM moto unawaka Samia akatazwa kuongea wahifia atamjibu Nchimbi.
Katika hali ya kushangaza Samia ameonekana akiondoka kimyakimya Baada ya kuhitimishwa kwa sherehe za Mashujaa Dodoma.
Leo madhulumati yameombewa laana zote, vifo, stroki, yote, kuanzia Clubhouse, TikTok, kooote. Sasa nyie mliojiweka madarakani kwa kumwaga damu za #wananchi wasio na hatia #TanzaniaMassacre, mjipange. Hukumu ni hapa hapa duniani. 😆#SamiaMustGo #CCMmustGo

@nchimbie kiti ulichokalia ni cha damu. Umo ndani ya serikali batili, dhalimu. Hamkuchaguliwa na #wananchi. Sasa unaongea nini porojo hapa? Unataka kutuhadaa tu. Unajifanya wewe msafi. Huna lolote. Wewe na #SamiaMuuaji lenu moja. #CCMmustGo #SamiaMustGo
#TANZANIA: HUWEZI KUWA MTETEZI WA AMANI NA KUWA ADUI WA HAKI, MAMBO HAYA YANATEGEMEANA - DKT. NCHIMBI
Makamu wa Rais wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema kuwa ni vigumu kwa mtetezi wa amani kuwa adui wa haki, au mtetezi wa haki kuwa adui wa amani, kwani mambo haya mawili yanategemeana.
Zaidi: https://t.co/ea22vrweoD
Huyu @SuluhuSamia ni binaadamu sio tu mpumbavu, ni katili. Kwahivyo yanayomkuta anayastahili 100%. Na nyie ma-vuvuzela @MsigwaGerson @ikulumawasliano mjiandae kudondoka nae. This fckng btch is going down big time. Mtalipa tu mbwa nyie #SamiaMustGo #CCMmustGo
Iddi Amini mama tulikuonya kwamba una uwezo wowote kuongoza hii Nchi, ukachukua Bunduki na kuua Watanganyika ili utawale kwa nguvu, na una mwanao mjinga Abdul unafikiria kwamba unaweza kuburuza Watanganyika,
Sawa tuchukulie umeshindwa wewe mjanja sana, lakini sasa ujue
-- Unadanganywa na wajinga wa mjini, umelipia mabilioni eti kuna mtu ameenda nje kukaa vikao na kufanikisha kukaa na wakubwa, wanakutengenezea mpaka report nzuri na picha za vikao, sasa kwa taarifa yako vikao vingi ulivyoambiwa ni fake , mapicha ni AI, kumbe ndio maana kila kitu walikuwa wanasema ni AI upande wa pili wanakupiga kwa kutumia AI , halafu wanatuhumu watu wanatumia AI mara mtu mmoja ana account nyingi kuonyesha wanaharakati ni wengi. Kumbe haya mambo yote wanakufanyia na wanachota mahela, uwezo mdogo, mawaziri wote ulioonga uwaziri wanakusema una ubongo hauna umeme, hayo ndio maneno yao.
-- Pili hakuna namna Abdul anaweza jificha kwenye ufisadi mliofanya, amejichanganya sana na amekula pesa nyingi sana hakuna mtu anaweza ficha pesa yote hiyo ndani ya miaka 4, hata iwe nani lazima wangekuja julikana tu, sasa hao alioweka mapesa kwao wengi wana HOFU kwamba watakuja uwawa, kuna mabilionea ameweka pesa kwao, hao hawana hofu ya kuuwawa lakini wamemrekodi na kwenda kuficha nje ya nchi ushahidi kwa ajili ya usalama wao makesi yatakapo anza dhidi yenu ili wao kujitoa, lazima waonyesha hizo record. na hakuna kitu mtaweza fanya hizo record wamesha ficha mbali
Tuliwaonye amkusikia, mkajiona nyie ni vidokozi wabobezi, sababu ulikuwa unaiba wakaambiwa wajinga wale kwa urefu wa Kamba, ukawaambia kila ofisi mbona ina chakula cha kutosha, ulilenga mchafuke wote, bahati mbaya toto lako na wewe mwenyewe uwezo mdogo, mmeacha alama kwenye kila wizi, kila mauaji na kila utekaji, kwenye mabalozi huko mnechafua sana, jipangeni

@nchimbie wewe ni mnafiki. Wewe na @SuluhuSamia wote ni wahaini. Magaidi. Wauwaji wa #TanzaniaMassacre na bado mnaendelea na utekaji, mauaji, na kesi za UONGO. Eti Ugaidi🙄Kati ya hao mnao watuhumu na nyie nani gaidi? Sasa, ni hivi #SamiaMustGo #CCMmustGo 🚮
VIDEO:
"Nikiambiwa kuna jambo tu kama Makamu wa Rais waambie Watanzania, nitasema pambaneni mpate katiba mpya, katiba ambayo ina makubaliano ya wadau wote, katiba yenye muafaka katika taifa, katiba ambayo kila Mtanzania popote alipo atajiskia fahari kujitambulisha mimi natoka Tanzania, katiba inayojali maisha", - Dkt. Nchimbi.
Hayo ameyasema Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi leo Julai 24, 2026 akizungumza kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania @thrdcoalition unaofanyika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
@HildaNewton21 Natamani waTanganyika wote tungekuwa na hisia na moyo wa kizalendo na ujasiri kama wa huyu kijana.. tungeshaikomboa nchi yetu kutoka kwa maharamia wa chama cha mauaji na sokwe wao wa kike.
#ccmmustgo #churakiziwimustgo
Most Popular Users

Elon Musk 
@elonmusk
241.1M followers

Barack Obama 
@barackobama
119.1M followers

Cristiano Ronaldo 
@cristiano
112.6M followers

Donald J. Trump 
@realdonaldtrump
111.8M followers

Narendra Modi 
@narendramodi
107.1M followers

Rihanna 
@rihanna
98.2M followers

NASA 
@nasa
92.2M followers

Justin Bieber 
@justinbieber
91.4M followers

KATY PERRY 
@katyperry
88.8M followers

Taylor Swift 
@taylorswift13
82.7M followers

Lady Gaga 
@ladygaga
74.2M followers

Virat Kohli 
@imvkohli
71.7M followers

Kim Kardashian 
@kimkardashian
70.3M followers

YouTube 
@youtube
68.7M followers

Neymar Jr 
@neymarjr
64.6M followers

Bill Gates 
@billgates
64.5M followers

The Ellen Show
@theellenshow
62.4M followers

Selena Gomez 
@selenagomez
61.9M followers

CNN 
@cnn
61.8M followers

X 
@x
60.8M followers



















