Watanzania tunakupenda na tunakushuru kwa hii sacrifice.
Nchi yako iko nyuma yako siku ya leo.
Nimekusomea dua usiku wa kuamkia leo na usiku huu napoingia kulala nitakusomea tena dua.
The LION OF TANZANIA 🇹🇿
#Tanzania ‼️ UPDATE ‼️
Unfortunately the Judiciary has been captured by Samia Suluhu via her son Abdulhalim who pressured the judges to rule that Lissu has a case to answer because the State does not need to show credible evidence for the case to proceed
Abdulhalim has been trying to poison Lissu, abduct his deputy Heche and funding some Chadema members to create a schism within! He has nightmares if you mention Lissu to him
But the worse are the civil servants taking orders from someone who has no official position in govt
What we are sure of is 70+ million Tanzanians will not be cowed by a gang from Kizimkazi Zanzibar
#FreeTunduLissuNow
#UPDATES_KESI_YA_UHAINI
Part 252
Jaji Ndunguru anaendelea kusoma uamuzi.
Mahakama hii baada ya kupitia hoja za pande zote mbili Mahakama inajiuliza je jamhuri kwa ushahidi wao kama wame establish endapo kama mshtakiwa ana kesi ya kujibu au lah
Hakuna ubishi kuwa maneno hayo yalitamkwa kwenye Mkutano na mbele ya vyombo vya habari na ushahidi unamzungumza, mshtakiwa na shahidi wa 17 alieleza kuwa maneno hayo yalitolewa na mshtakiwa na yeye alikuwepo na mbele ya watu wengine.
Hivyo Mahakama hii haingalii uzito au kuaminika kwa ushahidi, na kwasasa mahakama hii imeona kuwa kuna kesi imekuwa established na hivyo Mshtakiwa ana kesi ya kujibu dhidi ya ushahidi ulioletwa na upande wa mashtaka.
Jaji Ndunguru anaeleza zaidi kuwa Mshtakiwa ana haki kwa mujibu wa kifungu cha 312 cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jiani , ana haki ya kutoa ushahidi wake mwenyewe; haki ya pili ni kuita mashahidi wake au pia mshtakiwa ana haki ya kukaa kimya.
Mhe. Lissu anasimama na kueleza kuwa nitajitetea mimi mwenyewe kama shahidi wa kwanza, nitaita wafuatao ambao Mahakama naomba iwapelekee summons;
1. Samia Suluhu Hassan (popote alipo apelekewe summons) maana ni mwenyekiti wa Baraza la Usalama wa Taifa tunataka tujue kama wana taarifa za uhaini unaodaiwa.
2. Philip Isdor Mpando mwaka jana alikuwa Makamu wa Rais na Mjumbe wa Baraza la Usalama wa Taifa naamini anaushahidi kuwa haya maneno ni ya kutunga tunga tu.
3. Kassim Majaliwa ambaye wakati matukio haya yanatokea alikuwa Waziri Mkuu na kiongozi wa shughuli za serikai na mjumbe wa Baraza la Usalama wa Taifa;
4. IGP Camillius Wambura na Mjumbe wa Sekretariati wa Baraza la Usalama wa Taifa,
5. General John Mkunda Mkuu wa Majeshi na mjumbe wa sekretariati ya national security counsel,
6. DG wa Idara ya Usalama wa Taifa na Ujasusi (Mkuu wa TISS) tunataka DG aje aseme kama hili kosa kubwa katika Jamhuri ya Muungano lilifanyika au maneno tu,
7. DCI Ramadhani Kingai nataka aje anitetee maana alitajwa tajwa na mapolisi mashahidi
Naona sasa Lissu anaihamishia serikali Mahakamani.😂😂😂
Wengine waheshimiwa majaji naomba wafuatao pia wapelekewe summons
8. John Mnyika, katibu mkuu wa CHADEMA,
9. Amani Sam Golugwa huyu ni naibu katibu mkuu wa CHADEMA,
10. John Heche Makamu Mkt CHADEMA na vilevile alikuwepo kwenye mkutano wenyewe ni shahidi wa kuona na kusikia;
11. Brenda Rupia ushahidi ulitolewa hapa na watu wa jambo tv kuwa ndiye aliyealika waandishi, hawa ndio mashahidi wa kuanzia ila kukiwa na haja ya kuongeza nitawaomba mniruhusu niongeze mashahidi.
Kabla sijakaa naomba niongeze jambo hapa kuwa nimekuwa na matatizo makubwa sana ya mimi kukutana na Mawakili wangu na mashahdii wangu; hawa viongozi wa CHADEMA niliowataja tangu Novemba mwaka 2025 wamepigwa marufuku kunitembelea gerezani.
Hili suala Waheshimiwa Majaji nililileta kwenu mapema sana na mliniahidi kuwa wakati ukifika nitapata nafasi ya kuonana na kuzungumza nao, hivyo naomba mtoe amri kuwa mazungumzo yangu na mashahidi wangu yasisikilizwe na watu baki , watu baki ni maafisa Magereza na watu wote wa Serikali tofauti na hapo hii itakuwa sio Mahakama itakuwa ni kangaroo court.
Waheshimiwa majaji naomba mtoe amri hiyo vingenevyo hii habari ya fair trial vinginevyo itakuwa ni maneno tu.
Mhe. Lissu anasema niko tayari kuanza utetezi wangu kwa muda ambao na nyie mtakuwa tayari
Mahakama imepoa sana kiukweli baada ya uamuzi, huzuni imetawala hapa ndani ya chumba cha Mahakama.
Part 253 itaendelea kwenye post inayofuata.
Naomba repost yako.
@salim_alkhasas@253maestro Let’s assume ni kwa nia njema na hamna upigaji. Hiyo miundombinu inahtaji long term maintenance fund, Je tutauza wanyama pori?
Je hii infrastructure ita-generate more economic value than the gold sold would have provided as long-term security?