Watu washaji tengenezea Generational Wealth ya kula KEKI ya Nchi wao hadi Vitukuu vyao wakubali kirahisi tu wakupe Katiba Mpya??
Hata kama ni wewe ungekubali? Yaani unaiba Mabilioni na huwajibishwi. Ukiskia watu wanataka Katiba Mpya lazima uwe mkali 😆😆
Mwenyekiti wa Vijana ✅
Mwenyekiti wa Wazazi✅
Tunasubiri Mwenyekiti wa Wanawake na Wenyeviti wa Mikoa.
CCM wanaweza zunguka hata Wenyeviti wa Matawi wafanye Press, lakini JAWABU ni;
1) Tundu Lissu aachiwe huru bila masharti yeyote
2) Mazungumzo ya namna ya kupata Katiba mpya na mageuzi muhimu ya kisiasa yaanze chini ya wapatanishi (GUARANTORS) kutoka ama Umoja wa Afrika (AU) au Jumuiya ya SADC au wote kwa pamoja
3) Katiba mpya inayotokana na mwafaka wa Kitaifa itungwe na kuamuliwa na Wananchi kwa kura ya maoni
4) Katiba Itekelezwe na kutumika kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2030 na kabla yake Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2029
5) Sambamba na hayo hapo juu mchakato wa UKWELI, HAKI na UWAJIBIKAJI kwa matendo yote ya uvunjifu wa haki za binadam ufanyike.
CCM ISOME MAANDIKO UKUTANI
How many more voices must be silenced before the world says, “Enough”?
A university lecturer. Opposition leaders. Youth. Activists. Ordinary citizens.
The latest reports that Dr. Melkisedek Kaijage, a respected university lecturer, has been charged with terrorism after initially being detained over allegations related to planned demonstrations are deeply concerning. Recently also reports show that additional CHADEMA youth members in Mbeya and another group of CHADEMA members and leaders in Mwanza have been charged with terrorism.
The Universal Declaration of Human Rights affirms that everyone has the right to freedom of opinion and expression (Article 19), the right to peaceful assembly and association (Article 20), and the right to take part in the government of their country (Article 21). These are fundamental rights recognized by the international community.
Peacefully expressing political opinions, calling for reforms, or advocating for accountability should never be treated as acts of terrorism.
Political disagreement is not terrorism.
Demanding democratic reforms is not terrorism.
Calling for accountability is not terrorism.
The continued use of serious criminal charges against government critics raises profound concerns about civic space, political freedoms, and democratic governance. These concerns have also been reflected in recent statements by the Commonwealth Ministerial Action Group (CMAG), the European Parliament, ongoing bipartisan efforts in the U.S. Congress to reassess U.S.-Tanzania relations, and growing concern from the broader international community.
Terrorists ni wauaji wa October 29th na wanovamia kuteka watu.🇹🇿
Justice is not weakness.
Accountability is not revenge.
Human rights are not optional.
The international community must continue paying close attention to developments in Tanzania and support efforts that uphold democracy, the rule of law, and the dignity of every citizen.
#FreeTunduLissu #FreeKaijage #FreeAllPoliticalPrisoners
Peaceful expression, political dissent, and the exercise of fundamental human rights are not terrorism.
@Reuters@AP@AFP@CNN@nytimes@washingtonpost@guardian@TheEconomist@ForeignPolicy@VOANews@StateDept@SenateForeign@HouseForeign@SenatorShaheen@SenTedCruz@RepJoeWilson@ChrisCoons@SenatorRisch@MarcoRubio@SecVetAffairs@RepMcCormick@USAmbUN@EUparliament@EP_HumanRights@USCIRF@amnesty@hrw@freedomhouse@CFR_org@AtlanticCouncil@NDI@IRIglobal@NEDemocracy@RepGregSteube
https://t.co/yy4kgsP5Ic
CCM walitoa ahadi kwamba wataanzisha mchakato wa Katiba Mpya ndani ya siku 100 baada ya uchaguzi. Leo, zimepita siku 268, aliyekuwa mgombea mwenza wao anawataka Watanzania wapiganie Katiba Mpya. Binafsi nimejiuliza, kwanini wananchi wapambanie kitu ambacho chama chake kiliahidi kukitekeleza kwenye ilani yao ya uchaguzi? Je, tutakuwa tunakosea tukisema ilikuwa ahadi ya kitapeli?
Maridhiano mnayojadili ni kati ya nani na nani? CCM na CHADEMA? CCM iko Polisi, CHADEMA iko Ukonga. Sasa tufanyeje? Tuwafungulie CCM kutoka Polisi na CHADEMA toka Ukonga, ndipo tutapata fursa ya maridhiano ya aina yoyote!
HUU NI UONGO FLAVA
It’s sad to see, Wasanii wanatumika kisiasa hadi kuruhusu Muziki wao kushushwa thamani ili Serikali Haramu ijihalalishe.
NINI KINASHEREKEWA? LINI KIMETIMIZA MIAKA 30?
Neno Bongoflava lina miaka takriban 32, which means na Muziki wenyewe ni older than 30. Sasa hiyo 30 imetoka wapi? Na lini tulikubaliana kuwa kila muziki wa Tanzania ni Bongoflava? Maana show ilijaa Rappers? nachojua ni kwa ujumla tunaitaga “Muziki wa Kizazi Kipya” na Bongoflava huwa ina refer Muziki wa Waimbajii. Ni kama Watu wame-force narrative!
UNAADHIMISHAJE MIAKA 30 YA KITU BILA KUHUSISHA WAASISI?
Yaani Show yao ilijaa watu ambao ni wa miaka 15-25 iliyopita na sio 30; kama kweli unataka kuenzi Muziki wetu, unapaswa uanze 34 - 30 years ago. Saleh Jabir, Mr II Sugu, Hard Blasters, Kwanza Unit, Mawingu Band, Unique Sistaz, GWM, Deplowmatz, etc Inabidi ushirikishe Taji Liundi, Mike Mhagama, Radio One, TVZ, ITV… Kiufupi mmepuyanga na kuudogosha muziki!
Ilikuwa golden opportunity ya kuwa na proper documentary, full representation ya Waasisi na ikiwezekana kuwaenzi Jukwaani, ila nyie mmejiwaza wenyewe tu na kutaka kuIhalalisha Serikali Haramu.
“BRIDGING THE GAP” & WHERE ARE THE FLAG BEARERS?
Ukiongelea kitu cha miaka 30, haimaanishi uwe na watu waliofanya Zamani tu. Show imekuwa ndogo sababu current flag-bearers wanao uwakilisha muziki hawakuwepo. Pengine wasingeimba nyimbo zao, bali kuimba za Wakongwe. Imagine Diamond na Ali Kiba wanaimba “Anakudanganya” wa B Love M, Zaiid anaimba “Kukuru Kakara Zako” wa Sos B, Young Lunya na OMG wanaimba “Kula Kona” ya Manzeshe Crew, au “Cheza Mbali na Kasheshe” wa GWM, Temayai waimbe “Run Tings” wa Kwanza Unit, Abby Chams na P Mawenge wanaimba “Sikiliza” wa Unique Sistaz ft Hashim Dogo.
POOR PERFORMANCES
Watu walioenda kuimba ilipaswa wafanye mazoezi ya live. Yaani Unaandaa show unawaza kuwaweka Hotelini tu na sio kuwapa budget ya Rehearsal ya japo mwezi. Where are your priorities?
Audience ilikuwa ya watu wa Gen X na Millennials, na ni watu ambao wana-appreciate live music na quality performances. Wamefata Nostalgia, basi mngewapa zawadi ya quality show badala “Show Mazoea”!
KUTOKIDHI HADHI
Huwezi kuwa na Lineup ya “Kifiesta fiesta” alafu ukaipeleka Mlimani City; mngefanya Viwanja vya Posta au Leaders! Pia demographic inayovutiwa na Miaka 30 sio watoto wa miaka 25! So kuipeleka M-City na kujua kuwa audience ni majority of 35 - 55 yrs, basi ingekuwa a VIP and VVIP event. Kuna watu wana Gout mmewasimamisha masaa pale!
Tatizo Waandaaji ni wa Mchongo; Fid Q ambae show zake huwa zina mapungufu, na Madee ambae hajawahi hata andaa uzinduzi wa Video Launch. Na nyuma ya pazia yupo Mtoa Maboko namba moja, Paul Makonda na Babu Talent.
HITIMISHO
Watu wanataka burudani, mmewapa burudani mbaya, na kibaya zaidi mkataka kuchomeka siasa! Na Wasanii Njaa na Chawa nao wanaendelea kujiuza kirahisi tu kwa watu ambao hawawasaidii chochote!
Platform pekee inayoenzi Bongoflava ni BONGO FLAVA HONORS ya Deiwaka Ent (Sugu), huu upuuzi mwingine ulikuwa ni SAMIA KINGS & QUEENS 2.0 wakitaka kuturubuni ila TUMESHTUKA.
The Leader
#BREAKING: FORMER UN OFFICIAL ANNA TIBAIJUKA URGES PRESIDENT SAMIA TO RELEASE TUNDU LISSU
Former United Nations official and Tanzanian politician Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka has appealed to President Samia Suluhu Hassan to release opposition leader Tundu Lissu, warning that his continued detention is fueling disturbing narratives and harming Tanzania’s international reputation.
Posting on her official X account (formerly Twitter), Prof. Tibaijuka wrote:
“President Samia, I sincerely continue to advise that Tundu Lissu be released since the case is not complete. The wisdom and prudence that led you to announce the 4Rs policy when you assumed office should guide you again in this matter. These terrifying stories from international media stir strong emotions, especially among the youth, and even the elderly are reminded of the ordeal of Operation Sogeza which created ujamaa villages in 1974–1976. These reports greatly affect the image of our nation and its interests. The impact is huge. We must seek consensus through accountability and reconciliation. Let us fear God and recognize His miracles, such as the 16 bullets failing to end life though the pain is immense. Let us repent and pray for our nation, each person in their own faith.”
Her remarks came after a recent international feature spotlighted Lissu, the Chadema chairman, who has been in prison for more than a year facing treason charges.
Prof. Tibaijuka, who served as Tanzania’s Minister for Lands, Housing and Human Settlements Development (2010–2014) and represented Muleba South constituency under CCM until 2020, stressed that detaining Lissu revives painful historical memories and risks undermining Tanzania’s diplomatic standing.
@SuluhuSamia Mhe Rais naendelea kushauri kwa dhati Tundu Lissu aachiwe huru kwani kesi haikamiliki. Hekima na busara iliyokufanya kutangaza sera ya 4Rs mara ulipoingia madarakani ikuongoze tena katika jambo hili. Simulizi hizi za kutisha za vyombo vya habari vya kimataifa, zinaibua hisia kali hasa kwa vijana, hata wazee tumekumbushwa kadhia ya operation Sogeza iliyounda vijiji vya ujamaa 1974 -1976. Taarifa hizi zinaathiri kikubwa taswira ya taifa letu na maslahi yake. Athari ni kubwa. Tutafute muafaka kupitia uwajibikaji na maridhiano. Tuwe na hofu ya Mungu na kutambua miujiza yake mfano wa risasi 16 kushindwa kukomesha uhai ingawa maumivu ni makubwa. Tutubu na kusali kuliombea taifa letu kila mtu kwa imani yake.
@MariaSTsehai Acheni kuchezea kodi zetu, huu uongozi wa sasa haununuliki , viongozi wetu wa sasa ,wanajua nini wanacho kipigania. Heche is not easily shaken .