Biotechnologist and laboratory scientist ๐งฌ๐ฌ๐งซ #talk about science.
Fan of chelsea Fc ๐ and Simba SC๐ฆ .
The impossible is God speciality๐๏ธ
Are you interested in aย MSc in Bioinformatics of Infectious Diseases and Pathogen Genomics? This opportunity at Stellenbosch University is highly recommendedโ apply now if youโre interested.
Deadline: 26 June 2025
More details below โฌ๏ธ
Inawezekana hua unajiuliza kwanini labda wachawi/waganga hua wanaweza kumpa utajiri mtu, lakini wao wanabaki kwenye umaskini wa hali ya juu huku wateja wao wakineemeka na mali zao.
Hawa watu hua ni smart sana kichwani na kiroho ,wanajua jinsi gani ulimwengu wa roho na huu tuishio usiwachukulie poa kabisa.
Kwanza ni wazuri wa kucheza na saikolojia za wagonjwa wao, ndio maana anaweza kukupatia dawa ya kutatua shida Fulani, ukaitumia ukapona ukadhani labda ile dawa ndio imekupunya kumbe sivyo.
Mfano unaweza kuumwa tatizo Fulani labda figo akakupa dawa ukatumia kisha ukapona.
Ila kilicho behind the curtain ni kwamba wao wanafahamu kwamba, kila kitu kinachofanyika kwenye ulimwengu tunaoishi kinaanzia katika ulimwengu wa roho.
Na wanajua kwamba roho kama power house ya mwili ina uwezo (Psychic power) wa kutenda (manifest) lolote katika ulimwengu wa mwili/mazingira.
Wanachofanya ni Reorientation of the spirit to better heal the body, kwamba unaweza kua na tatizo Fulani mwilini ukaukonvisi mwili wako.
Google inaskiliza kila kitu unachoongea na hii ni hatari sana kwa FARAGHA yako
Hivi ndio unavoweza fanya kuongeza PRIVACY ili GOOGLE wasiskize kila kitu
>Nenda kwenye GMAIL halafu chagua Manage Google account
>Halafu click DATA & PRIVACY
Kumbukumbu la Torati 28:12
Atakufunulia Bwana hazina yake nzuri, nayo ni mbingu, kwa kutoa mvua ya nchi yako kwa wakati wake, na kwa kubarikia kazi yote ya mkono wako; nawe utakopesha mataifa mengi, wala hutakopa wewe.
Good Morning X family๐