"Jeshi la Polisi wapuuze taarifa za uongo za ndani ya Jeshi la Polisi lenyewe zinazodaiwa kuwa za kiintelejensia, kwamba watu wa Chadema wanapanga kufanya vurugu kwa wanachokiita kumuokoa @TunduALissu kutoka kwenye mikono ya magereza na Polisi, uongo mtupu." Mhe. @jjmnyika
Hakikisha UNAISHINDA NJAA utakuwa huru kweli kweli.
GenZ tunao uwanja mpana wa kupambana na NJAA hasa kupitia mitandao ya kijamii.
Ukiweza ITUMIE vyema hakikisha unaishinda NJAA uwe huru.
HAKUNA TAKATAKA ATAKUPELEKESHA CHINI YA JUA.
Hii nyomi ya KARATU lazima wakoloni weusi walale wanasonya.
Hiki chama ambacho hakina RUZUKU kinawezaje kufanya yote haya?
Jibu ni jepesi "kushiriki mikutano ya hiki chama ni KUFANYA IBADA YA KWELI"
ASANTENI KARATU KWA KUIHESHIMISHA CHADEMA.
Mkutano wa leo Karatu CDM tunaomba jeshi la zimamoto na uokoaji waje haraka na vifaa vya Oxygen. Watu ni wengi sana hewa inazidi kupingua kadri muda unavyosonga mbele tafadhari!!.
Watanzania wenzetu wa Karatu leo, hii mikutano itabidi jeshi la zimamoto na uokoaji wafanye maandalizi ya kuleta vifaa vya Oxygen. Hii Idadi inaonesha kuna uhitaji wa Oxygen, hii operation Katiba Mpya, Free Tundu Lissu ni hatari.
Mkutano upi unadhani ulitisha kwa wingi wa watu ?
Bado siku 5 👊🏽🔥
Wakazi wa Dar es Salaam ni muhimu kufika kwa wingi mahakamani kuonyesha SOLIDARITY na Tundu Antipas Lissu
Tuhakikishe tunaweka historia ya kujaza mahakama hadi nje! Na tusimwone George Bagyemu au Mafwele hapo mbele ya mahakama kuzuia watu!
#FreeTunduLissu
Agustino Lissu ✊🏽❤️
A fighter like his father Tundu Lissu and courageous like his mother Alice Magabe🔥
Mungu ailinde familia hii wamepitia mengi sana 😢
Nafurahi kuona wamekataa kuwa wanyonge!
#FreeTunduLissu
YOUNG LISSU.
Dogo kaamua kuja Front kupambania haki za babaake aliepo gerezani zaidi ya siku 400.
Wakoloni weusi Hizi mbegu mbaya mnazopanda vifuani mwetu lazima mzivune.
Stay strong BRO-TUTAVUKA NA TUTASHINDA.
TUTAKUWEPO🫵🏾😎
KARIBU KWENYE MAPAMBANO, YOUNG LISSU 💪🏽🇹🇿Mashangazi, wajomba, na Watanganyika wengi tupo nyuma yako. 🙏🏽
Now that Augustino Lissu has given his blessing to share that he joined us in Washington, DC, I can honestly say that one of the most moving moments of my recent advocacy trip was having him alongside my own son. Both are university students studying political science, being there with us.
Augustino is the son of Tundu Lissu. His father remains in prison in Tanzania after dedicating much of his life to advocating for democracy, justice, the rule of law, free and fair elections, and reforms. This is the same man who survived an assassination attempt in which 16 bullets were removed from his body. One bullet reportedly remains because of its proximity to his spine. 😢
Augustino shared his personal experience with Senate and Congressional offices, speaking not as a politician, but as a son who has grown up in the shadow of violence against his father and the long absences caused by political persecution, exile, and imprisonment. Sadly, family separation is a reality that many Tanzanian families have experienced.
He spoke about missing the simple moments many young people take for granted -a father being present, offering guidance, sharing ordinary childhood experiences.
One statement stayed with me:
“I never really got to play catch with my father because his arm could not fully stretch anymore. All I know is that throughout my father’s adult life, he has fought for what he believed was right, and he has been punished for it.”
To sit in that room and listen to his testimony was deeply emotional. No lens or sunglasses could hide my tears. And with my own son sitting beside me, the weight of that moment became even more personal.
It is painful that Tundu Lissu, after surviving violence and dedicating his life to public service and advocacy, remains in custody amid ongoing concerns about his health and access to appropriate medical care & missing health checkups.
Whether one agrees with him politically or not, every human being deserves due process, dignity, and justice.
How can this be normalized? How can this continue without accountability?
What exactly is his wrongdoing other than advocating for the principles he believes in?
We continue to call for the release of Tundu Lissu and for justice for all those who remain detained, disappeared, persecuted, or targeted for speaking their truth.
Release Tundu Lissu. Deliver justice.
🇹🇿🙏🏽
#freetundulissu #FREETUNDULISSU
@tedcruz@SenatorShaheen@RepJoeWilson@StateDept@SenateForeign@SFRCdems@USCIRF@RepJoeWilson@SFRCdems@StateDept@SenateForeign@hrw@amnesty@oneafricashow@LarryMadowo@RepPressley@IntlCrimCourt@HouseForeignGOP@HouseForeign@Europarl_EN@EU_Commission@UN@Reuters@BBCWorld@CNN@AJEnglish@AP@nytimesworld@Pontifex@MetropolitanAME@TPHDallas@BishopCEBlake@fellowshipchi@mtzionnashville@impact_dc@afmbcdallas@TheGroveAtlanta@Bethany_BBC@4NBethany
Dear Augustino Lissu, stay stronger and thank you for showing up to demand your father’s liberty. SC Tundu Lissu is extremely proud of you. Stay vigilant & unbowed, son. Wear that AURA and walk his talk, young🐐!