Marc Cucurella has completed a permanent transfer to Spanish La Liga side Real Madrid.
Everyone at Chelsea FC would like to thank Marc for his efforts during his time at the club and for the role he played in our recent achievements.
Haki iliyocheleweshwa ni haki iliyonyimwa.
Tangu kukamatwa kwa Tundu A.M. Lissu tarehe 9 Aprili 2025, zaidi ya mwaka mmoja umepita huku shauri lake likikumbwa na mfululizo wa kuahirishwa. Tangu Machi 6, 2026 hadi Julai 6, 2026 kutakuwa kumepita siku 122 bila shauri kuendelea kusikilizwa.
Swali la msingi ambalo Watanzania wengi wanauliza si kama Tundu Lissu ana hatia au hana hatia. Swali ni: kwa nini haki yake ya kusikilizwa kwa wakati inaendelea kucheleweshwa?
Katika mfumo wa utawala wa sheria, mahakama zipo kulinda haki za wananchi, si kufanya mchakato wa sheria kuwa adhabu yenyewe. Ikiwa mtu anatuhumiwa kwa kosa kubwa kama uhaini, basi taifa lina wajibu wa kuhakikisha kesi yake inasikilizwa kwa haraka, kwa uwazi na kwa haki ili ukweli ujulikane.
Serikali inapaswa kuonyesha kwamba haitumii ucheleweshaji wa kimahakama kama njia ya kumweka kizuizini mpinzani wa kisiasa kwa muda usiojulikana. Njia pekee ya kuondoa mashaka hayo ni kuhakikisha shauri hili linaendelea kusikilizwa bila ucheleweshaji usio na sababu za msingi.
Haki si tu kutoa hukumu sahihi; haki ni kuhakikisha hukumu hiyo inafikiwa kwa wakati unaofaa. Mahakama na serikali wanapaswa kukumbuka kwamba imani ya wananchi katika mfumo wa haki hujengwa na uwazi, usawa, na usikilizwaji wa mashauri kwa wakati.
Kama ushahidi upo, uletwe mahakamani. Kama haupo, sheria ichukue mkondo wake. Lakini haki haiwezi kujengwa juu ya kuahirishwa kusikoisha.
Kudadeki walahi, hata swali kashindwa kuelewa. Dah!
Hakuulizwa kama Tanzania iko kwenye vikwazo, alichoulizwa ni kwamba, Russia iko vikwazo je Tanzania inatafaya vipi biashara na Russia ambayo iko kwenye vikwazo? Je Tanzania itafanikiwa vipi kuzunguka vikwazo hivyo vya Russia na kufanya biashara?
Alichojibu form 4 failure alieiba Urais kwa kuua wananchi zaidi ya elfu 10, Tanzania haiko kwenyw vikwazo. Dah!!!!!
Dear Augustino Lissu, stay stronger and thank you for showing up to demand your father’s liberty. SC Tundu Lissu is extremely proud of you. Stay vigilant & unbowed, son. Wear that AURA and walk his talk, young🐐!
Kutoka Washington, DC, Marekani: Tupo na maGen—Z, mtoto wa Tundu Lissu, Tino, na mtoto wa dada @tausilikokola tukipigania Uhuru wa baba yake Tino na Watanzania kwa ujumla. Nipo na begi langu la maamuzi magumu. #HakiHuinuaTaifa
I have the utmost respect for leaders who recognize the inherent dignity and equal rights of every human being. On behalf of many Tanzanians seeking justice, accountability, religious freedom, and the protection of fundamental human rights, thank you @tedcruz and @SenatorShaheen for your leadership and willingness to listen then acted.
A special thank you to Senator Cruz’s office, for taking the time to engage with us. We are equally grateful to Congressman @RepJoeWilson office for meeting with us and hearing directly from those advocating for justice in Tanzania.
We appreciate the continued attention to Tanzania’s human rights situation, including loss of life, enforced disappearances, abductions, religious repression, restrictions on fundamental freedoms, and the continued imprisonment of Tundu Lissu.
As members of the diaspora, we will continue informing, engaging, and encouraging support for efforts that advance justice, partisan introduced bill, accountability, religious freedom, and human rights. Tanzania needs justice. Tanzania needs accountability. Tanzania needs the release of Tundu Lissu.
Thank you for caring. 🇹🇿🇺🇸🙏🏾❤️
When leaders are able to take or retain power through violence and killings against their own citizens and then avoid accountability of any form or under the protection of geopolitical hegemony, it sends a dangerous message to the world. It suggests that human rights violations and abuses of power can be shielded when backed by powerful international alliances. This threatens not only regional stability and regional security, but also humanity as a whole, other nations, and the universal principles of justice, human dignity, and accountability.
Go figure who is in Russia now seeking partners to shield and avoid accountability? The one who claimed victory in the presidency at 98% 🇹🇿, while over 10,000 innocent individuals were killed with bullets on the streets and inside their own homes.
This cannot be allowed; otherwise, dictators will think they can do this and stay in power.
Tanzania needs justice.
Tanzania need Justice.
Tanganyikans like myself are crying for justice.
Our hope now is the US.
Calling all diaspora to act NOW! Support the bill. Call your representatives and senators to support the partisan bill, write to them and use the great America freedom -Save Tanganyika.
@POTUS@WhiteHouse@mangekimambi@SFRCdems@SenateForeign@StateDept #HumanRights #ReligiousFreedom #Justice #FreeTunduLissu #Tanzania
@RepJoeWilson@SFRCdems@StateDept@SenateForeign@hrw@amnesty@oneafricashow@LarryMadowo@RepPressley@IntlCrimCourt@HouseForeignGOP@HouseForeign@Europarl_EN@EU_Commission@UN@Reuters@BBCWorld@CNN@AJEnglish@AP@nytimesworld@Pontifex@WSJ@washingtonpost@Pontifex@MetropolitanAME@TPHDallas@BishopCEBlake@fellowshipchi@mtzionnashville@impact_dc@afmbcdallas@TheGroveAtlanta@Bethany_BBC@4NBethany
ILI TAIFA Lipone linahitaji mambo Muhimu 5
1. Tume ya Ukweli,Haki na Uwajibikaji kuhusiana na matukio ya Mauwaji na upotezwaji wa watu na Miili Kabla,wakati na baada ya uchaguzi
2.Kuachiliwa kwa mahabusu wote ,wafungwa wakisiasa ikiwamo kuachiliwa kwa Wakili Tundu Antipas Lissu.
3.Kuhuishwa kwa sheria ya Uandikwaji wa Katiba Mpya na Kuweka utaratibu utakao anzia pale Tume ya Warioba ilipoishia.
4.Kuruhusu Uchunguzi huru wa Kimataifa kuhusiana na matendo yote yanayohusiana na ukiukwaji wa haki za Binadamu na haki za kiraia.
5.Raia wote kujikana kukataa rushwa,hofu,woga,kukataa hila na ghilba za kisiasa na kutanguliza maslahi Mapana ya Taifa mbele
UKWELI,HAKI NA UWAJIBIKAJI UTALIPONYA TAIFA.
BAK MWABUKUSI.
Pamoja na kuwa Tanzania ina haki ya kuwa na mahusiano ya kirafiki na nchi yoyote duniani kwa kadri inavyowezekana, kwa maoni yangu safari ya kuelekea Moscow imefanyika katika wakati ambao si muafaka kisiasa na kidiplomasia.
Katika kipindi ambacho Marekani na Umoja wa Ulaya tayari wameonyesha kutoridhishwa na mwenendo wa kisiasa nchini Tanzania, hususan baada ya matukio ya Oktoba 2025, malalamiko ya ukiukwaji wa haki za binadamu, na kuendelea kushikiliwa kwa viongozi wa upinzani, jambo la mwisho ambalo Tanzania ilihitaji ni kutuma ujumbe unaoweza kutafsiriwa kama kuhamisha mwelekeo wake wa kimkakati kutoka kwa washirika wake wakuu wa maendeleo kwenda Moscow.
Tatizo si kwenda Moscow.
Tatizo ni kwenda Moscow wakati Washington na Brussels wanaanza kuhoji mwelekeo wa kisiasa wa Tanzania.
Diplomasia sio suala la hisia; ni suala la muda, mazingira na maslahi ya taifa.
Ukweli ambao hatupaswi kuuficha ni kwamba kwa sasa Russia haiwezi kuchukua nafasi ya Marekani na Umoja wa Ulaya katika maendeleo ya Tanzania.
Takwimu zinaonyesha wazi:
Marekani imechangia zaidi ya dola bilioni 3 katika kipindi cha 2020–2025.
Umoja wa Ulaya umechangia takribani dola bilioni 3.2.
Russia imechangia karibu sifuri katika Official Development Assistance (ODA).
Haya si maoni. Hizi ni takwimu.
Wakati mwingine katika siasa tunajidanganya kwamba washirika wanaweza kubadilishwa kwa urahisi. Historia inaonyesha sivyo.
Marekani na Umoja wa Ulaya hawatoi fedha pekee.
Wamekuwa nguzo muhimu katika:
mapambano dhidi ya UKIMWI na malaria,
chanjo na mifumo ya afya,
elimu,
maji safi,
kilimo,
uwekezaji wa sekta binafsi,
teknolojia,
mafunzo ya wataalamu,
na upatikanaji wa masoko ya kimataifa.
Pengo litakalotokana na kupungua kwa ushirikiano huo haliwezi kuzibwa kwa picha za viongozi kukutana au mikataba michache ya kisiasa.
Mataifa hayajengwi kwa alama za kidiplomasia; yanajengwa kwa maslahi halisi ya wananchi.
Swali ambalo viongozi wanapaswa kujiuliza si kama tunaweza kuwa marafiki wa Russia.
Swali ni:
Je, Russia inaweza kuchukua mzigo wa afya, elimu, uwekezaji, biashara na maendeleo ambao Marekani na Umoja wa Ulaya wameubeba kwa miongo kadhaa?
Mpaka sasa, jibu la ukweli ni hapana.
Hatari kubwa zaidi si kupoteza misaada.
Hatari kubwa ni kupoteza imani.
Mataifa yanaweza kuishi bila misaada kwa muda fulani.
Lakini ni vigumu kuishi bila imani ya wawekezaji, masoko ya kimataifa, taasisi za kifedha na washirika wa maendeleo.
Fedha za dunia zina tabia moja:
Hukimbilia kwenye utulivu, uwazi wa kisiasa na taasisi zinazoaminika.
Ndiyo maana nchi yenye busara haiharibu madaraja kabla haijajenga mengine.
Na hata kama imeamua kujenga daraja jipya kuelekea Moscow, ni hatari kubomoa madaraja yaliyoiunganisha na Washington na Brussels kwa zaidi ya nusu karne.
Kwa sababu katika siasa za kimataifa, si kila rafiki mpya ana uwezo wa kuchukua nafasi ya rafiki wa zamani.
Na katika wakati ambao Tanzania inahitaji uwekezaji zaidi, ajira zaidi, teknolojia zaidi na masoko zaidi, taifa linapaswa kuwa makini sana lisije likachanganya uhuru wa kidiplomasia na kujitenga kidiplomasia.
Uzalendo wa kweli si kupiga picha na mataifa makubwa; uzalendo wa kweli ni kuhakikisha maamuzi ya leo hayaleti gharama ambazo wananchi wa kawaida watazilipa kesho.
KARIBU KWENYE MAPAMBANO, YOUNG LISSU 💪🏽🇹🇿Mashangazi, wajomba, na Watanganyika wengi tupo nyuma yako. 🙏🏽
Now that Augustino Lissu has given his blessing to share that he joined us in Washington, DC, I can honestly say that one of the most moving moments of my recent advocacy trip was having him alongside my own son. Both are university students studying political science, being there with us.
Augustino is the son of Tundu Lissu. His father remains in prison in Tanzania after dedicating much of his life to advocating for democracy, justice, the rule of law, free and fair elections, and reforms. This is the same man who survived an assassination attempt in which 16 bullets were removed from his body. One bullet reportedly remains because of its proximity to his spine. 😢
Augustino shared his personal experience with Senate and Congressional offices, speaking not as a politician, but as a son who has grown up in the shadow of violence against his father and the long absences caused by political persecution, exile, and imprisonment. Sadly, family separation is a reality that many Tanzanian families have experienced.
He spoke about missing the simple moments many young people take for granted -a father being present, offering guidance, sharing ordinary childhood experiences.
One statement stayed with me:
“I never really got to play catch with my father because his arm could not fully stretch anymore. All I know is that throughout my father’s adult life, he has fought for what he believed was right, and he has been punished for it.”
To sit in that room and listen to his testimony was deeply emotional. No lens or sunglasses could hide my tears. And with my own son sitting beside me, the weight of that moment became even more personal.
It is painful that Tundu Lissu, after surviving violence and dedicating his life to public service and advocacy, remains in custody amid ongoing concerns about his health and access to appropriate medical care & missing health checkups.
Whether one agrees with him politically or not, every human being deserves due process, dignity, and justice.
How can this be normalized? How can this continue without accountability?
What exactly is his wrongdoing other than advocating for the principles he believes in?
We continue to call for the release of Tundu Lissu and for justice for all those who remain detained, disappeared, persecuted, or targeted for speaking their truth.
Release Tundu Lissu. Deliver justice.
🇹🇿🙏🏽
#freetundulissu #FREETUNDULISSU
@tedcruz@SenatorShaheen@RepJoeWilson@StateDept@SenateForeign@SFRCdems@USCIRF@RepJoeWilson@SFRCdems@StateDept@SenateForeign@hrw@amnesty@oneafricashow@LarryMadowo@RepPressley@IntlCrimCourt@HouseForeignGOP@HouseForeign@Europarl_EN@EU_Commission@UN@Reuters@BBCWorld@CNN@AJEnglish@AP@nytimesworld@Pontifex@MetropolitanAME@TPHDallas@BishopCEBlake@fellowshipchi@mtzionnashville@impact_dc@afmbcdallas@TheGroveAtlanta@Bethany_BBC@4NBethany